mwitasa
Senior Member
- Dec 28, 2013
- 199
- 476
Kwa nini hakuna Combination ya ECA kwenye special school za shule za wasichana?. Kwa kweli inakera na inakatisha tamaa kwa wanafunzi na wazazi. mtoto kapata div.1.7 akiwa na AAA kwenye hesabu Commerce na bookkeeping kapelekwa shule za kawaida wakati wenzake kwenye michepuo tofauti na point za chini wamepelekwa Special school hii si haki.
Mtoto tangu akiwa darasa la saba alikuwa na ndoto za kusoma special school lakini form one hakuchaguliwa huko nikampa moyo afanye bidii form apate A zote ili achaguliwe kwenda special school na katimiza hilo na alikuwa na ndoto ya kusomea masomo ya ECA ila sasa amepelekwa shule ya kawaida. Tumeangalia matokeo ya shule hiyo kwa miaka 4 nyuma hakuna mwanamfunzi aliyewahi kupata division 1 hata ya mwisho wala kupata alama B ya somo lolote kwenye mchepuo huo. Mtoto kakataa tamaa ya kuendelea na masomo ya kidato cha tano ECA na mzazi hana uwezo wa kumpeleka Private amesusa hataki shule bora awe mjasiriamali . Ameshauriwa kagoma inaumiza kichwa
Mtoto tangu akiwa darasa la saba alikuwa na ndoto za kusoma special school lakini form one hakuchaguliwa huko nikampa moyo afanye bidii form apate A zote ili achaguliwe kwenda special school na katimiza hilo na alikuwa na ndoto ya kusomea masomo ya ECA ila sasa amepelekwa shule ya kawaida. Tumeangalia matokeo ya shule hiyo kwa miaka 4 nyuma hakuna mwanamfunzi aliyewahi kupata division 1 hata ya mwisho wala kupata alama B ya somo lolote kwenye mchepuo huo. Mtoto kakataa tamaa ya kuendelea na masomo ya kidato cha tano ECA na mzazi hana uwezo wa kumpeleka Private amesusa hataki shule bora awe mjasiriamali . Ameshauriwa kagoma inaumiza kichwa