Miaka ya hivi karibuni shule za high school za serikali katika mitihani ya necta zina piku za private hasa kwenye masomo ya sayansi, kwa mfano mwaka hu shule nyingi za umma hazina div 4 au 0 wengi wana 1ya 3. Ya 4 mpaka ya 6 wakati za private zina 1 ya 8 9 na two za mwanzo, shule chache zenye 1 ya 3 kwenye private
Ila kinacho shanganza hizi shule za serikali zina soma siku chache sana kwa mfano form five private wa lisha anza tangu mwezi wa saba, na nyingi zilikua pia na pre form five programm, nyingi zina maabara ya masomo ya sayansi na waalimu wanao jituma sana. Ila matokeo ya kija zina zidiwa na shule za umma zisio kua na hata basenbanner au test tubes.
What is the secrete behind this?
Ila kinacho shanganza hizi shule za serikali zina soma siku chache sana kwa mfano form five private wa lisha anza tangu mwezi wa saba, na nyingi zilikua pia na pre form five programm, nyingi zina maabara ya masomo ya sayansi na waalimu wanao jituma sana. Ila matokeo ya kija zina zidiwa na shule za umma zisio kua na hata basenbanner au test tubes.
What is the secrete behind this?