Serikali mtambue kuwa warabu sio wahisani wazuri

Serikali mtambue kuwa warabu sio wahisani wazuri

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
15,774
Reaction score
35,994
Naona baada ya kukataliwa kupewa mikopo na misaada,. Sasa mnakimbilia kujipeleka Kwa warabu

Nawakumbusha warubu sio wahisani wazuri kama wazungu

Mzungu anatoa misaada mingi na masharti machache kama democrasia, haki za binadamu, kutunza mazingira n. K

Sasa huko Kwa mwarabu mtaishia kupewa tende, alkasusi, na vikoi
Screenshot_20251127-195735.png
 
Simba akikosa
Naona baada ya kukataliwa kupewa mikopo na misaada,. Sasa mnakimbilia kujipeleka Kwa warabu

Nawakumbusha warubu sio wahisani wazuri kama wazungu

Mzungu anatoa misaada mingi na masharti machache kama democrasia, haki za binadamu, kutunza mazingira n. K

Sasa huko Kwa mwarabu mtaishia kupewa tende, alkasusi, na vikoiView attachment 3508440
Simba hakikosa nyama ula majani.
 
Naona baada ya kukataliwa kupewa mikopo na misaada,. Sasa mnakimbilia kujipeleka Kwa warabu

Nawakumbusha warubu sio wahisani wazuri kama wazungu

Mzungu anatoa misaada mingi na masharti machache kama democrasia, haki za binadamu, kutunza mazingira n. K

Sasa huko Kwa mwarabu mtaishia kupewa tende, alkasusi, na vikoiView attachment 3508440
tushapokea gari zetu mbili alf wao wanachukua Dar nzima na watu wake🤣🤣🤣
 
Waarabu ndio waliouziwa bandari kwa hiyo nilitegemea kuwaona kipindi hiki kutumika sana kwenye maswala ya diplomasia.

Lakini tukiangalia kuhusu misaada basi Waarabu hawajawahi kutupa msaada wowote wa maana na wabinafsi sana.

Hata ukiangalia kwenye mataifa ya waarabu wenzao ambao walikutwa na majanga yaliyohitaji kutolewa msaada tuliona waarabu wakiwa nyuma na mataifa ya Ulaya ndio yaliyokuwa kinara kutoa misaada.

Sasa kama tu waarabu wenzao waifanyiwa undava, sisi ni nani tujione special mbele ya muarabu?

Mwaka jana gazeti la Citizen liliandika habari iliyosema Tanzania na Kenya ni miongoni mwa nchi kumi zinazopokea nusu ya misaada inayotolewa na nchi za Ulaya kuja Afrika.

Wafadhili wakuu ni World Bank na nchi wanachama wake hao ndio tunaowategemea miaka yote kwenye misaada na mikopo.
 
Waarabu ndio waliouziwa bandari kwa hiyo nilitegemea kuwaona kipindi hiki kutumika sana kwenye maswala ya diplomasia.

Lakini tukiangalia kuhusu misaada basi Waarabu hawajawahi kutupa msaada wowote wa maana na wabinafsi sana.

Hata ukiangalia kwenye mataifa ya waarabu wenzao ambao walikutwa na majanga yaliyohitaji kutolewa msaada tuliona waarabu wakiwa nyuma na mataifa ya Ulaya ndio yaliyokuwa kinara kutoa misaada.

Sasa kama tu waarabu wenzao waifanyiwa undava, sisi ni nani tujione special mbele ya muarabu?

Mwaka jana gazeti la Citizen liliandika habari iliyosema Tanzania na Kenya ni miongoni mwa nchi kumi zinazopokea nusu ya misaada inayotolewa na nchi za Ulaya.

Wafadhili wakuu ni World Bank na nchi wanachama wake hao ndio tunaowategemea miaka yote kwenye misaada na mikopo.
Kizimkazi katuponza kwakweli
 
Naona baada ya kukataliwa kupewa mikopo na misaada,. Sasa mnakimbilia kujipeleka Kwa warabu

Nawakumbusha warubu sio wahisani wazuri kama wazungu

Mzungu anatoa misaada mingi na masharti machache kama democrasia, haki za binadamu, kutunza mazingira n. K

Sasa huko Kwa mwarabu mtaishia kupewa tende, alkasusi, na vikoiView attachment 3508440
Kule kwa Traore wamegonga mwamba.
 
Naona baada ya kukataliwa kupewa mikopo na misaada,. Sasa mnakimbilia kujipeleka Kwa warabu

Nawakumbusha warubu sio wahisani wazuri kama wazungu

Mzungu anatoa misaada mingi na masharti machache kama democrasia, haki za binadamu, kutunza mazingira n. K

Sasa huko Kwa mwarabu mtaishia kupewa tende, alkasusi, na vikoiView attachment 3508440
Pale mwenye njaa akijitapa kumshibisha mwenye njaa mwenzake
 
Naona baada ya kukataliwa kupewa mikopo na misaada,. Sasa mnakimbilia kujipeleka Kwa warabu

Nawakumbusha warubu sio wahisani wazuri kama wazungu

Mzungu anatoa misaada mingi na masharti machache kama democrasia, haki za binadamu, kutunza mazingira n. K

Sasa huko Kwa mwarabu mtaishia kupewa tende, alkasusi, na vikoiView attachment 3508440
Sikio la kufa halisikii dawa....
 
Naona baada ya kukataliwa kupewa mikopo na misaada,. Sasa mnakimbilia kujipeleka Kwa warabu

Nawakumbusha warubu sio wahisani wazuri kama wazungu

Mzungu anatoa misaada mingi na masharti machache kama democrasia, haki za binadamu, kutunza mazingira n. K

Sasa huko Kwa mwarabu mtaishia kupewa tende, alkasusi, na vikoiView attachment 3508440
Kwani, kuna wahisani wazuri? Dawa siyo ubaya au uzuri wa wahisani bali kuacha kutegemea hisani wakati tunazo raslimali nyingi tena za thamani.
 
Kwani, kuna wahisani wazuri? Dawa siyo ubaya au uzuri wa wahisani bali kuacha kutegemea hisani wakati tunazo raslimali nyingi tena za thamani.
Acha maneno ya siasa hakuna mwenye akili za utilize hizo Rasimali.
Madini wanachimba wazungu
Bandari mmeuzia waarabu
Utalii mmewapa UAE

Hapa serikali inategemea Kodi za mama ntilie kuendesha nchi
 
Back
Top Bottom