serikali mnashida gani?

serikali mnashida gani?

igihumbi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2017
Posts
572
Reaction score
553
kiukweli sijui kuna kitu gani chini ya kapeti. Serikali miradi mingi imesimama haifanyi kazi kama shida ni pesa tupitishe bakuli Tanzania nzima.

Sgr imesimama kuanzia tabora hafi uvinza tabora to isaka kimya
Uwanja wa mpira kimya hadi leo dodoma hakuna kitu wakati mlisema ujenzi unaanza mwezi wa 3 hakuna kifaa hata kimoja site.

UWANJA WA ARUSHA WATU HAWANA MIKATABA WALA OVER TIME HAZITHAMINIWI.
FUNDI ANALIPWA 12500 KIBARUA ANALIPWA 12500 NA HELA INATOLEWA MKONONI SERIKALI ONESHENI MAKALI YENU. SERIKALI MNAPOTEZA MAPATO MENGI.
 
sasa hivi aliye pata kapata na alie kosa ndo kakosa na kama huna conection ndio kabisa
 
#TRC mladi wenu wa leli ina hamuonekani vijana tunatakiwa tufanye kazi jaman
#TRC waamsheni wachina tufanye kazi tuanze ujenzi wa tuta mbona camp zote tayari
 
Tuacheni tuko bize na uchaguzi. Mnatuona serikali kama mat*ko yenu kila mtu anaweza shika.
 
kiukweli sijui kuna kitu gani chini ya kapeti. Serikali miradi mingi imesimama haifanyi kazi kama shida ni pesa tupitishe bakuli Tanzania nzima.

Sgr imesimama kuanzia tabora hafi uvinza tabora to isaka kimya
Uwanja wa mpira kimya hadi leo dodoma hakuna kitu wakati mlisema ujenzi unaanza mwezi wa 3 hakuna kifaa hata kimoja site.

UWANJA WA ARUSHA WATU HAWANA MIKATABA WALA OVER TIME HAZITHAMINIWI.
FUNDI ANALIPWA 12500 KIBARUA ANALIPWA 12500 NA HELA INATOLEWA MKONONI SERIKALI ONESHENI MAKALI YENU. SERIKALI MNAPOTEZA MAPATO MENGI.
C
kiukweli sijui kuna kitu gani chini ya kapeti. Serikali miradi mingi imesimama haifanyi kazi kama shida ni pesa tupitishe bakuli Tanzania nzima.

Sgr imesimama kuanzia tabora hafi uvinza tabora to isaka kimya
Uwanja wa mpira kimya hadi leo dodoma hakuna kitu wakati mlisema ujenzi unaanza mwezi wa 3 hakuna kifaa hata kimoja site.

UWANJA WA ARUSHA WATU HAWANA MIKATABA WALA OVER TIME HAZITHAMINIWI.
FUNDI ANALIPWA 12500 KIBARUA ANALIPWA 12500 NA HELA INATOLEWA MKONONI SERIKALI ONESHENI MAKALI YENU. SERIKALI MNAPOTEZA MAPATO MENGI.
CC. Lucas Mwashambwa chawa wa sa100!
 
Miradi yote ya maana imesimama Kwa sababu Hela nyingi zimepelekwa Kwa mambo yasiyo ya msingi kama taarifa ya mkaguzi na mdhibiti wa mahesabu(CAG).
 


And vice versa!
 
kiukweli sijui kuna kitu gani chini ya kapeti. Serikali miradi mingi imesimama haifanyi kazi kama shida ni pesa tupitishe bakuli Tanzania nzima.

Sgr imesimama kuanzia tabora hafi uvinza tabora to isaka kimya
Uwanja wa mpira kimya hadi leo dodoma hakuna kitu wakati mlisema ujenzi unaanza mwezi wa 3 hakuna kifaa hata kimoja site.

UWANJA WA ARUSHA WATU HAWANA MIKATABA WALA OVER TIME HAZITHAMINIWI.
FUNDI ANALIPWA 12500 KIBARUA ANALIPWA 12500 NA HELA INATOLEWA MKONONI SERIKALI ONESHENI MAKALI YENU. SERIKALI MNAPOTEZA MAPATO MENGI.
Hamna mradi wenye faida hapo kuanzia SGR mpaka kiwanja cha mpira. Tungejenga SGR kwena Zambia yaani tungeboresha TAZARA angalau mwamko wa mradi ungekuwepo. Miradi mingi ya kiongozi iliyopita ilikuwa haina maslahi mapana ya nchi. Ndio maana wanaokuja wanaiba na kuzubaa. Nchi kama nchi hatujawahi kupata serikali iliyoheshimu na kuendeleza kiradi ya kiongozi aliyepita.
 
Fundi analipwa 12500 na kibarua 12500 Kwa siku na wanapewa mikononi .Aisee Samia mitano tena .CCM oyeee
 
Back
Top Bottom