mtu watu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 2,123
- 1,616
Dar es salaam : Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Hamad Masauni ameagizwa kuundwa kwa kamati ya wataalamu kukagua kwa kina magari ya Jeshi la Polisi yaliyoingizwa nchini kutoka India baada ya kugundulika kuwa na dosari.
Naibu Waziri Masauni ametoa agizo hilo jijini Dar es salaam baada ya kufanya ukaguzi wa awali wa magari hayo ikiwa ni kutekeleza agizo la Rais Dkt. John Magufuli.
Magari hayo 173 ambayo ni mapya ya Jeshi la Polisi, yalibainika kuwa magari matano kati yake ni mabovu, na mengine yameshatembea zaidi ya kilimota elfu moja.
Naibu Waziri Masauni ametoa agizo hilo jijini Dar es salaam baada ya kufanya ukaguzi wa awali wa magari hayo ikiwa ni kutekeleza agizo la Rais Dkt. John Magufuli.
Magari hayo 173 ambayo ni mapya ya Jeshi la Polisi, yalibainika kuwa magari matano kati yake ni mabovu, na mengine yameshatembea zaidi ya kilimota elfu moja.