IROKOS
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 10,184
- 7,822
....Wa vichwa vya treni walikamatwa? Wapo mtaani wanakula bata kama kawa...ni jambo jema wajanja wakamatwe
....Wa vichwa vya treni walikamatwa? Wapo mtaani wanakula bata kama kawa...ni jambo jema wajanja wakamatwe
Asante Umeongea kitaalam na kwa hekimaKutembea km 1000 sio sababu ya kusema gari ni kuu kuu, inategemea India kiwanda kilipo na loading port vipo umbali gani.
Tufanye kazi sasa sio kila siku hadithi tu.
Kesho lazma wakutafute wakakupime Mkojo andaa wadhamini kabisaaHao mbwa mngewapa hata mikokoteni ingewafaa