NGUVU NDOGO NI IPI
JF-Expert Member
- Jul 13, 2019
- 909
- 1,045
hawa jamaa wamekua kelo ata uku mbeya nanenane wakuzongazonga kama utafikili vibaka
Wanakera sana wale jamaa, niliona tukio moja kuna mama alikuwa anasafiri bas wale jamaa wakamgombea weeee! Mwisho wa siku yule mama akajikuta yupo kwenye ngorika ya Arusha, mtoto wake kapakiwa kwenye Dar lux ya Mwanza, mzigo umeshafika kwenye Abood ya mbeya, Beki 3 kapakiwa kweny buti la zungu ya Mtwara. mama wa watu akabaki analia tu hajui la kufanyaWale jamaa walipelekea abiria kupoteza mizigo yao, ukifika pale watakugombea na mpk vitu vinapotea, walitakiwa kuwaondoa mda mrefu sana!
Hawawezi kuwaondoa hao watu,ni kama biashara ya machangudoa hauwezi kuimaliza,watazuia kwa muda kisha watarudi tena kama WATEULE.Habari,
Ni kawaida kuwakuta wapiga debe ndani ya kituo cha mabasi ya mikoani ubungo,ambao huanzia kituo cha river side mpka ndani ya kituo cha ubungo.
Kazi yao kubwa ilikuwa ni kuwapeleka abiria kwenye mabasi husika na hata kuwasaidia kubeba mizigo ili kupata riski ya chochote kutoka kwa abiria hao
Lakini kwa sasa hali ni tofauti kwani uongozi wa kituo pamoja na askari wametumika kuwatimua kutokufanya shughuli hiyo
Je, Serikali imewawekea njia mbadala ya kujiingizia kipato au kipi tukitarajie kutoka kwa hawa watu zaidi ya 800 baada ya kukoseshwa kazi yao ambayo ilikuwa inawasaidia kuingiza chochote kitu?
Nadhani ni muda muafaka sasa iwamulike na wale wanaozagaa hovyo mabarabarani kuuza bidhaa, wakiwemo waliogeuza vibanda vya kusubiria wasafiri kuwa maduka yao binafsi. Dar es Salaam ni jiji pekee Afrika Mashariko lisilo na utaratibu. Kampala na Nairobi hakuna upuuzi huu.Habari,
Ni kawaida kuwakuta wapiga debe ndani ya kituo cha mabasi ya mikoani ubungo,ambao huanzia kituo cha river side mpka ndani ya kituo cha ubungo.
Kazi yao kubwa ilikuwa ni kuwapeleka abiria kwenye mabasi husika na hata kuwasaidia kubeba mizigo ili kupata riski ya chochote kutoka kwa abiria hao
Lakini kwa sasa hali ni tofauti kwani uongozi wa kituo pamoja na askari wametumika kuwatimua kutokufanya shughuli hiyo
Je, Serikali imewawekea njia mbadala ya kujiingizia kipato au kipi tukitarajie kutoka kwa hawa watu zaidi ya 800 baada ya kukoseshwa kazi yao ambayo ilikuwa inawasaidia kuingiza chochote kitu?
Hahahaha. Nini kiliendelea mkuu kama ulishuhudia hadi mwisho?Wanakera sana wale jamaa, niliona tukio moja kuna mama alikuwa anasafiri bas wale jamaa wakamgombea weeee! Mwisho wa siku yule mama akajikuta yupo kwenye ngorika ya Arusha, mtoto wake kapakiwa kwenye Dar lux ya Mwanza, mzigo umeshafika kwenye Abood ya mbeya, Beki 3 kapakiwa kweny buti la zungu ya Mtwara. mama wa watu akabaki analia tu hajui la kufanya
Nini kinafuata ? Mapori tupu yamejaa tele .....[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mzee mi sifnyi kazi ubungo but nmefkiria tu baada ya kutolewa pale nini kinafuata
Bi mkubwa ndo alikuwa best looser kwa siku ileHahahaha. Nini kiliendelea mkuu kama ulishuhudia hadi mwisho?