jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,128
- 8,648
Habari,
Ni kawaida kuwakuta wapiga debe ndani ya kituo cha mabasi ya mikoani ubungo,ambao huanzia kituo cha river side mpka ndani ya kituo cha ubungo.
Kazi yao kubwa ilikuwa ni kuwapeleka abiria kwenye mabasi husika na hata kuwasaidia kubeba mizigo ili kupata riski ya chochote kutoka kwa abiria hao
Lakini kwa sasa hali ni tofauti kwani uongozi wa kituo pamoja na askari wametumika kuwatimua kutokufanya shughuli hiyo
Je, Serikali imewawekea njia mbadala ya kujiingizia kipato au kipi tukitarajie kutoka kwa hawa watu zaidi ya 800 baada ya kukoseshwa kazi yao ambayo ilikuwa inawasaidia kuingiza chochote kitu?
Ni kawaida kuwakuta wapiga debe ndani ya kituo cha mabasi ya mikoani ubungo,ambao huanzia kituo cha river side mpka ndani ya kituo cha ubungo.
Kazi yao kubwa ilikuwa ni kuwapeleka abiria kwenye mabasi husika na hata kuwasaidia kubeba mizigo ili kupata riski ya chochote kutoka kwa abiria hao
Lakini kwa sasa hali ni tofauti kwani uongozi wa kituo pamoja na askari wametumika kuwatimua kutokufanya shughuli hiyo
Je, Serikali imewawekea njia mbadala ya kujiingizia kipato au kipi tukitarajie kutoka kwa hawa watu zaidi ya 800 baada ya kukoseshwa kazi yao ambayo ilikuwa inawasaidia kuingiza chochote kitu?