Serikali kuuza dhahabu ni jambo la hatari kuliko tunavyofikiria

Serikali kuuza dhahabu ni jambo la hatari kuliko tunavyofikiria

thundercat8

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2015
Posts
310
Reaction score
677
1. Kuuza dhahabu yote is a bad move, kwa sababu mataifa yoye makubwa sasa hivi yananunua dhahabu kwa kasi kubwa kwa sababu ya kupotea thamani kwa fiat currency (pesa za karatasi). US ambae ni kiranja mkuu kila siku tunamuona Trump anahangaika kuiokoa dollar kwa sababu maji yamefika shingoni mataifa makubwa kama BRICS na mengineyo yameshtuka mapema yanataka kujitoa kwenye mfumo wa dollar ( dumping USD to buy gold) huku wakitengeneza currency yao itayoshindana na dollar.

2. Serikali ya TZ haina mgodi wa kuchimba hio dhahabu, wanainunua kama watu wengine wanavyonunua. Kumbuka tunapewa percent ya mapato kutoka kwenye migodi yetu in pesa not dhahabu. Bei ya dhahabu inapanda kwa kasi sana kiasi kwamba serikali itashindwa kuzinunua hizo dhahabu back because it will be more expensive to buy back.

3. He who has the gold makes the rules. Jua kwamba mataifa hayanunui dhahabu kama akiba wananunua ili siku mfumo wa pesa tulionao sasa ukifeli wawe wana mbadala wa pesa (gold is still money na ndio matumizi makubwa ya dhahabu achana na urembo ambao ni percent ndogo ya matumizi ) So kuuza dhahabu ni kuujirudisha umaskinini sana kwa sababu siku haya makaratasi wanayoprint stationery za BOT na FED America zikienda mrama, kama nchi itakua exposed kwenye umasikini makubwa sana.

Hoja ijibiwe kwa hoja
 
1. Kuuza dhahabu yote is a bad move, kwa sababu mataifa yoye makubwa sasa hivi yananunua dhahabu kwa kasi kubwa kwa sababu ya kupotea thamani kwa fiat currency (pesa za karatasi). US ambae ni kiranja mkuu kila siku tunamuona trump anahangaika kuiokoa dollar kwa sababu maji yamefika shingoni mataifa makubwa kama BRICS na mengineyo yameshtuka mapema yanataka kujitoa kwenye mfumo wa dollar ( dumping USD to buy gold) huku wakitengeneza currency yao itayoshindana na dollar.

2. Serikali ya TZ haina mgodi wa kuchimba hio dhahabu, wanainunua kama watu wengine wanavyonunua. Kumbuka tunapewa percent ya mapato kutoka kwenye migodi yetu in pesa not dhahabu. Bei ya dhahabu inapanda kwa kasi sana kiasi kwamba serikali itashindwa kuzinunua hizo dhahabu back because it will be more expensive to buy back.

3. He who has the gold makes the rules. Jua kwamba mataifa hayanunui dhahabu kama akiba wananunua ili siku mfumo wa pesa tulionao sasa ukifeli wawe wana mbadala wa pesa (gold is still money na ndio matumizi makubwa ya dhahabu achana na urembo ambao ni percent ndogo ya matumizi ) So kuuza dhahabu ni kuujirudisha umaskinini sana kwa sababu siku haya makaratasi wanayoprint stationery za BOT na FED America zikienda mrama, kama nchi itakua exposed kwenye umasikini makubwa sana.

Hoja ijibiwe kwa hoja
Safi great thinker
 
Kikufaacho chako, hivi hao wasomi wanaoshauri iuzwe unafikiri walikurupuka so sad Kila kitu tunalalamika.
Sasa kama ndani ya miezi 3 tu ndo hali ishakua hivi je,mpaka trump amalize muda wake hali itakuaje si itabidi tuwe tunawapora wachimbaji wetu wadogo wadogo sababu hatutokua na hela tena za kuwanunuza ili tupate yakuuza nje
 
Wachimbaji wadogo na wa kati wajiandae dhahabu zote mtaiuzia bank kuu kwa bei watakayo wao !reserve zote soon zitaanza chimbuliwa si mmesikia mwekezaji kawekeza trillion 17 kuleta vifaa vya kuchimba madini sasa ile ni gavoo ipo nyumayake
 
Samuya is and will always remain the worst ever president to rule this country!!.
She has a very very low iq!.
 
Hutokea pale matumizi ya serikali yapakua makubwa sana kuliko mapato na vyanzo vyake na hawataki kujishusha...

Posho, vikao, safari, mishahara ya wenza wa wastaafu, Bunge liliojaa wabunge wengi bila tija, Wizara kua na mawaziri wengi wengi bila sababu za msingi...


Cc: Mahondaw
 
We unawaza kikufaacho chako mkuu kuuza hiyo ni sawa na kuuza nyumba yako halafu uende ukapange.ndio tuna rasilimali za kutosha kama mbuga zinazoendelea kuliingizia taifa Pato,lakini waza ikitokea siku utalii ukakata kama enzi za korona na hakuna misaada tutauza nini kutatua shida zetu za ndani.maana hatuna kilimo hicho kikubwa cha kuuza mazao
 
1. Kuuza dhahabu yote is a bad move, kwa sababu mataifa yoye makubwa sasa hivi yananunua dhahabu kwa kasi kubwa kwa sababu ya kupotea thamani kwa fiat currency (pesa za karatasi). US ambae ni kiranja mkuu kila siku tunamuona Trump anahangaika kuiokoa dollar kwa sababu maji yamefika shingoni mataifa makubwa kama BRICS na mengineyo yameshtuka mapema yanataka kujitoa kwenye mfumo wa dollar ( dumping USD to buy gold) huku wakitengeneza currency yao itayoshindana na dollar.

2. Serikali ya TZ haina mgodi wa kuchimba hio dhahabu, wanainunua kama watu wengine wanavyonunua. Kumbuka tunapewa percent ya mapato kutoka kwenye migodi yetu in pesa not dhahabu. Bei ya dhahabu inapanda kwa kasi sana kiasi kwamba serikali itashindwa kuzinunua hizo dhahabu back because it will be more expensive to buy back.

3. He who has the gold makes the rules. Jua kwamba mataifa hayanunui dhahabu kama akiba wananunua ili siku mfumo wa pesa tulionao sasa ukifeli wawe wana mbadala wa pesa (gold is still money na ndio matumizi makubwa ya dhahabu achana na urembo ambao ni percent ndogo ya matumizi ) So kuuza dhahabu ni kuujirudisha umaskinini sana kwa sababu siku haya makaratasi wanayoprint stationery za BOT na FED America zikienda mrama, kama nchi itakua exposed kwenye umasikini makubwa sana.

Hoja ijibiwe kwa hoja
Na nyie hebu acheni bwana, hilo takataka mtakuwa mnalisingizia halina uwezo wa kuchambua uchumi!
 
Sasa hivi ndio nimewaelewa wamama wanaonunua dhahabu na kusema ni asset, kumbe kweli inaweza kukufaa ukifilisika.
ANaejua bei ya leo ya dhahabu kwa gram please share nianze kuwekesha kwa muhindi na mimi.
 
Back
Top Bottom