Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 733
Serikali kupitia wizara ya sayansi na teknologia na kushirikiana na tume ya masiliano nchini ina mpango wa kuregister watumiaji wote wa simu za mkononi ili kuwathibiti wanaotumia simu hizo kwa uhalifu ama kuwakashfi wengine ama kuwanyanyasa wengine. Habari hii ni kwamujibu wa taarifa ya habari ya TBC1 leo hii. Zoezi hili kwa kweli litakuwa gumu sana hasa kwa watumiaji ambao tayari wana kazi za simu za mikononi.....