Serikali kuondoa udhibiti wa sukari kutoka nje kisheria. Bashe adai anaenda kuwatikisa 'Big Boys'

Chama dola kongwe kimeshindwa kuendesha nchi kiasi hata suala la sukari hawawezi kulipatia ufumbuzi.

Jawabu ni kuruhusu sukari iagizwe na hilo limeshindikana. TMA Mamlaka ya Hali ya Hewa ilitangaza mvua nyingi za El Niño, serikali ikashindwa kujipanga!

Ama kuna tatizo jingine la ukosefu wa akiba ya fedha za kigeni yaani dola ndiyo tatizo? Maana waagizaji bidhaa zingine pia wanalia muda mrefu unatumika kupata kiasi cha dola ili waagize vitu na bidhaa toka ngambo.

Ukosefu wa fedha za kigeni unatokana na utawala mbovu wa CCM usiokuwa na mipango ya kuhakikisha muda wote fedha za kigeni zipo za kutosha kulipia bidhaa, huduma, madawa, madeni ya taifa ya miundo-mbinu inayojengwa na kampuni za kigeni tunazozikaribisha kujenga reli, magati ya bandari n.k

Zigo hilo la mipango ya kuwa na sera ya fedha za kigeni za kutosha hawalisemi CCM badala yake wanakimbizana na wafanyabiashara wa sukari huku wakiwalaumu kuwa ndiyo kiini cha uhaba wa sukari.

Mambo haya yanajulikana na yalipaswa kuwemo ktk sera ya muda mrefu ya serikali makini kubalansi mahitaji ya kuagiza nje na uwezo wa kuzalisha fedha nyingi za kigeni kwa kuuza nje. Au kuzalisha bidhaa nyingi tunazoagiza nje hapahapa ndani na kuuza kwa wingi nje ili mizania ya fedha za kigeni ielemee uwingi wa akiba kwetu tuepukana na adha na aibu ya sukari ya kuagiza nje kwa muda mfupi.

Pia tunakosa fedha nyingi za kigeni kwa mikataba mibovu ya gesi na madini :
 
Asitafutwe mchawi, ni sera mbovu za serikali ya CCM katika masuala ya kiuchumi na kibiashara. Asitishie kivuli cha ruhani asiyekuwepo ambaye amebatizwa jina la kiruhani Big Boys, CCM itazidi kuaibika

Nchi haina pesa za kigeni, mbali ya kuwa hatukunga

Bolivia, Sri Lanka and Lebanon record sharpest decline in hard currency reserves


1708597468871.png


A shortage of foreign currency can be an economic problem for developing countries for several reasons. One of the main problems is that it can make it difficult for a country to pay for essential imports such as food, fuel, and raw materials

Alex Irwin-HuntMarch 8, 2023
The majority of developing countries had less foreign currency reserves to cover their imports at the end of 2022 than before the Covid-19 pandemic started, according to fDi calculations based on data from 75 countries.
More than half (39) of the assessed countries have seen their import cover ratios – a standard comparable measure of foreign exchange reserves – fall by 25% or more. This is based on changes between March 2020 and December 2022, or the latest month where figures are available on Haver Analytics, an economic data agglomeration platform


Foreign exchange reserves, commonly known as forex or FX reserves, are used by central banks for a variety of tasks including to finance a country’s fiscal and balance of payment deficits, manage currency’s exchange rates and maintain confidence in financial markets. Economists tend to worry when countries have forex reserves that fall below three months’ worth of imports. Among the 75 countries analysed, Bolivia has seen the sharpest decline in its reserves since Covid-19. In September 2022, the latest month where data is available, the landlocked South American country had enough FX reserves to cover 0.825 months of imports, 88% less than in March 2020.

Bolivia’s reserves are being depleted by a “combination of a sustained large fiscal deficit monetised by the central bank” and “fixed exchange rate regime”, according to the IMF. International reserves held by Bolivia’s central bank stood at about $372m in January 2023, less than a tenth of their level in January 2020, Haver Analytics data shows.

Sri Lanka recorded the second largest decline (-77.9%) in its import coverage since the pandemic. The South Asian nation has been undergoing “the mother of all crises” amid political instability, an economic collapse and soaring public debts. This week (March 7) the IMF said that Sri Lanka had secured financial assurances from China, India and all its major bilateral creditors after months of waiting for approval for a $2.9bn bailout.

Gabriel Sterne, the head of global emerging market research at Oxford Economics, says dwindling forex reserves highlight that “crisis resolution policies are themselves in the midst of one of the biggest crises” since the IMF and World Bank were formed over 70 years ago.

Current efforts to help countries like Sri Lanka and Zambia “should provide clues as to when resolution policies can provide impetus to rebuilding FX reserves and recoveries more generally in these economies,” says Mr Sterne.

Lebanon has seen the third steepest fall in its foreign reserves in terms of imports among the 75 countries analysed. Between March 2020 and December 2022, foreign reserves fell by 75.7% to a value equivalent to 8.312 months worth of imports. The Middle Eastern country has faced the deepest economic crisis in its history since October 2019, which was exacerbated by Covid-19 and a massive explosion at the Port of Beirut in August 2020.

Read more : source : Forex crisis: Countries with the largest fall in reserves since Covid-19
 
Waziri Bashe akiwa Ikulu, Dar ameongelea sakata la sukari nchini

Bashe: Wafanyabiashara wana option mbili tu, waache kuuza sukari, Serikali itatafuta option nyingine. Wenye viwanda wana option mbili, wafate utaratibu wa Serikali au waache hii kazi.

Serikali haiwezi kuruhusu, tumewaprotect vya kutosha kama nchi lakini kwa uwezo wa mwenyezi Mungu mwezi wa sita kwenye Bunge la bajeti kama waziri mwenye dhamana ninapeleka mabadiliko ya sheria kwaajili ya ku libelarize biashara ya sukari, wata- compete na competing companies kutoka nje na wenyewe watapata incentives zilizo ndani ili kuwaprotect.

Hatuwezi kuendelea na irresponsible private sector kwenye nchi kwa hali hii inayoendelea. Wakulima wa miwa wako 12,500 nchini, tutasota mwaka mmoja, mabonde yale tutayageuza ya mpunga, there is no problem.. zipo nchi ambazo zimeacha kulima sukari.

Bashe uko sahihi kabisa sera za kulinda wazawa wanaotaka kuumiza wazawa hazina tija. Sukari haipaswi kuuzwa kwa beí inayozidi tshs 1800,hizi ndo sera zinazoumiza wawekezaji wa mahoteli znz pombe wanapaswa kuagiza watu wawili tu na ndo wahudumie kisiwa kizima, kuanzia bia, wine,whsky na Gin kwa aina zake.
 
HASHIM RUNGWE - CCM INAWAFANYIA UKATILI WANANCHI

View: https://m.youtube.com/watch?v=kpxhBBVrXfk
Kiongozi wa Chama cha Ukombozi wa Umma - CHAUMMA mheshimiwa Hashim Rungwe akilaumu chama kongwe dola CCM kwa matendo yake, na kusema kuwa huu ni ukatili.

CCM kuwafanyia ukatili na ubaguzi raia katika matumizi ya kodi zetu, gharama za maisha kuwa juu, ukosefu wa umeme, kodi za bidhaa kuwa juu mno..
 
Hatua ndo hizo kaanza nazo au zipi unazotaka wewe?
Chain ya sukari imebeba watu wengi ikiwemo wasio na makosa. Bashe hawezi kuharibu maisha yao kisa Serikali kushindwa kutimiza wajibu wao wa kudhibiti bei. Anajigamba kabisa mwaka mmoja mashamba yote yatakufa, hamna mtu hapo.
 
Kwanini hatua hazikuchukuliwa mapema mpaka tufikie tulipofikia? Maduka mengi hakuna sukari kabisa licha ya kuwa bei iko juu.
Bado hatujachelewa hata hivyo sie Waha wa kibondo tuna msemo wetu, better late than never.
 
Waziri Bashe akiwa Ikulu, Dar ameongelea sakata la sukari nchini.

Bashe: Wafanyabiashara wana option mbili tu, waache kuuza sukari, Serikali itatafuta option nyingine. Wenye viwanda wana option mbili, wafate utaratibu wa Serikali au waache hii kazi.

Serikali haiwezi kuruhusu, tumewaprotect vya kutosha kama nchi lakini kwa uwezo wa mwenyezi Mungu mwezi wa sita kwenye Bunge la bajeti kama waziri mwenye dhamana ninapeleka mabadiliko ya sheria kwaajili ya ku libelarize biashara ya sukari, wata- compete na competing companies kutoka nje na wenyewe watapata incentives zilizo ndani ili kuwaprotect.

Hatuwezi kuendelea na irresponsible private sector kwenye nchi kwa hali hii inayoendelea. Wakulima wa miwa wako 12,500 nchini, tutasota mwaka mmoja, mabonde yale tutayageuza ya mpunga, there is no problem.. zipo nchi ambazo zimeacha kulima sukari.

Siku hizi tuna Suma JKT biashara au wasambazaji
 
Kila siku sukari sukari miaka 63 ya uhuru bado tunazumzia sukari wakati tuliopata nao uhuru sasa hivi wanarusha vyombo anga za mbali na AI. Chanzo Cha Masikini(CCM) ni CCM.
 
Inafikirisha sana Waziri wa Kilimo anaapa kabisa lazima aiue sekta Fulani ya Kilimo?
Huyu waziri inabidi afutwe kazi ameshindwa kudeal na chanzo cha tatizo la kupanda.bei ya sukari
 
Chain ya sukari imebeba watu wengi ikiwemo wasio na makosa. Bashe hawezi kuharibu maisha yao kisa Serikali kushindwa kutimiza wajibu wao wa kudhibiti bei. Anajigamba kabisa mwaka mmoja mashamba yote yatakufa, hamna mtu hapo..
Bei haidhibitiwi na serikali.

Serikali ikiingilia ingilia kwenye bei, ama itapandisha bei kwa manipulations za wafanyabiashara, au itafanya bei ziwe chini zaidi ya uhalisia na kuondoa incentive kwa wazalishaji na watengenezaji wa sukari kuuza.

Bei inadhibitiwa na nguvu za soko za supply and demand.

Serikali inachoweza kufanya ni kuweka mazingira mazuri zaidi ya biashara ili nguvu za soko za supply and demand ziweze kushusha bei au kufanya bei iwe ya kiuchumi zaidi.

Na hiki ndicho Bashe anachoenda kufanya kwa kupeleka muswada bungeni uwe sheria.
 
Back
Top Bottom