Serikali: Kuna Jumuiya za Kidini zinatumika kutakatisha pesa, usafirishaji haramu wa binadamu, kufadhili ugaidi na kutoa mafunzo hatarishi

Wakolosai 3:14 inasema " zaidi ya hayo yote, jivikeni upendo, ndio kifungo cha ukamilifu". Dunia imeisha, hata hawa wanaota ndoto kwamba kuna siku dunia nzima itakuwa ya kiislam wanajifurahisha tu, kufumba na kufumbua wakati wakihangaika na hilo dunia itafika mwisho na wale wote wasiompokea Yesu Kristo aliye kafara la wokovu kama Bwana na Mwokozi wa maisha yao, watasogezwa mbele ya hukumu na watatupwa kwenye ziwa liwakalao moto na kiberiti milele na milele. ampendaye jirani yake hawezi kumchinja ati kwasababu haamini uislam, hawawi kumwazia mabaya, hiyo sio dini sahihi.

kuna wengine wanajifariji, labda kwasababu wao sio wa dini hiyo ya ajabuajabu, wao dini yao ni ya Kikristo, ila wanasali kwa jina la maria na wafu, wanaabudu dini badala ya Mungu, hamna tofauti yeyote na hao, nyote sehemu yenu ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti, kwasababu mmemkataa yeye aliyemwaga Damu kwa aajili ya kuwaokoa, mkatumainia uchawi, dini na viongozi wa dini. ninajua mpo gizani, Mungu awafumbue macho, kabla siku zenu hazijafutika. Mungu awasaidie.
 
Museveni hana.mjadala na wapuuzi kama hao hata Kagame
 

Attachments

  • IMG-20240327-WA0002.jpg
    IMG-20240327-WA0002.jpg
    77.9 KB · Views: 1
kwa hiyo tunzania kuna ugaidi?
Huyo ni waziri kwahiyo wewe na yeye kuna utofauti mkubwa mno...kama hakuna huo ugaidi kwanini vijiji vilivyo wilaya ya newala kwa upande wa mpaka na msumbiji kuna operesheni kali mno zinafanyika sana? Namjua mwalimu wa shule ya msingi aliekaja kugongewa nyumba usiku na mpaka leo hajulikani aliko,kuna vijana kama 4 hivi wameshikwa majumbani kwao usiku kwa mfumo huohuo inakuja gari unagongewa nyumba unabebwa chini ya kipigo hatari sana
 
Angeonekana yuko siliasi na masilahi ya nchi iwapo angedhibiti kwanza ng`o zinazo fadhili ushoga na utoaji mimba zilizo jaa hapa nchini.
Ushoga na utoaji mimba japo ni dhambi kubwa ila athari zake sio kubwa kama ugaidi
 
Huyo ni waziri kwahiyo wewe na yeye kuna utofauti mkubwa mno...kama hakuna huo ugaidi kwanini vijiji vilivyo wilaya ya newala kwa upande wa mpaka na msumbiji kuna operesheni kali mno zinafanyika sana? Namjua mwalimu wa shule ya msingi aliekaja kugongewa nyumba usiku na mpaka leo hajulikani aliko,kuna vijana kama 4 hivi wameshikwa majumbani kwao usiku kwa mfumo huohuo inakuja gari unagongewa nyumba unabebwa chini ya kipigo hatari sana

waglatia bana punguzeni chuki mkuu, zitakuuweni
 
waglatia bana punguzeni chuki mkuu, zitakuuweni
Hapo ndipo shida inapoanza sasa hebu nikupe homework kidogo kama upo mtwara mjini au kuna ndugu yako unayemjua muulize kisa kilichokatokea msikiti wa soko kuu halafu uje uandike tena ujinga wako
 
Tumekaa na junia tunakunywa juice ya maembe hapa kumbe Tanzania kuna ugaidi.
 
Back
Top Bottom