Walishahakiki kitambo sanaMajeshini nako wamemaliza au hawaendi?
Vipepeo weusiSource!!
mishahara mipya kashindwa hiyo ajira atawalipa niniVijana wote muwe na subira, kilio chenu Mh. Rais amesikia.
Ni wakati wa kujiandaa kwa ajili ya jjira zijazo. Ndugu zangu wa JF, msiwe wepesi wa kusema vibaya. Tanzania ni yetu sote.
Afya tayari zimeshatangazwa.Nazi kwenuSi atangaze sasa hivyo viajira... Vijana nao wajione kama ni watanzania
Tangazo linapatikana wapi mkuu..?Afya tayari zimeshatangazwa.Nazi kwenu
Nashauri wazimwage katika dampo la pugu
Hamna kiongozi zinakuja we vuta subiraUnatafutwa uko kwa kuwadanganya vijana wenzako
Unatafutwa uko kwa kuwadanganya vijana wenzako
Bila shaka..!!!Hiyo ni ndoto ya mlevi mmoja alikuwa anaota
Duuhh kuwa mstaarabu basi mwanamkeHiyo ni ndoto ya mlevi mmoja alikuwa anaota
Watakupa tu boss wana wengu wametoboa kupitia hiyo Database ya Utumishi.Kawaambie tumechoka kukaa kwenye data base,haiwezekani oral 6 za utumishi kazi hawakupi
Sawa Mkuu,subira yavuta heriWatakupa tu boss wana wengu wametoboa kupitia hiyo Database ya Utumishi.