Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,500
- 9,279
Serikali ya Tanzania inatazamiwa kutuma helikopta na ndege katika mlima Kilimanjaro nchini Tanzania kujaribu kuuzima moto unaendelea kuwaka kwa siku ya saba sasa.
Hayo ameyasema Waziri wa utalii nchini humo Dkt Hamis Kigwangala baada ya moto kuendelea kuwaka katika mlima huo.
Jana Waziri Kigwangala alitangaza kuwa wameweza kuudhibiti moto huo, lakini baadaye moto huo ulisaambazwa zaidi na upepo uliovuma katika mlima huo.
Katika ujumbe wake wa Twitter Waziri Kigwangala amethibitisha kuwa moto unaendela kuwaka tatika mlimo huo mrefu zaidi barani Afrika.
#MzeeWaField kazini Mlimani Kilimanjaro jana. Bado tunahangaika na kuzima moto. Kazi ni ngumu na kubwa kuliko inavyodhaniwa. Changamoto ni upepo mkali na kukauka kwa nyasi na vichaka. Taratibu zikikamilika leo tutaweza kuanza kutumia Helicopters na ndege kuzima moto. #HK
Hayo ameyasema Waziri wa utalii nchini humo Dkt Hamis Kigwangala baada ya moto kuendelea kuwaka katika mlima huo.
Jana Waziri Kigwangala alitangaza kuwa wameweza kuudhibiti moto huo, lakini baadaye moto huo ulisaambazwa zaidi na upepo uliovuma katika mlima huo.
Katika ujumbe wake wa Twitter Waziri Kigwangala amethibitisha kuwa moto unaendela kuwaka tatika mlimo huo mrefu zaidi barani Afrika.
#MzeeWaField kazini Mlimani Kilimanjaro jana. Bado tunahangaika na kuzima moto. Kazi ni ngumu na kubwa kuliko inavyodhaniwa. Changamoto ni upepo mkali na kukauka kwa nyasi na vichaka. Taratibu zikikamilika leo tutaweza kuanza kutumia Helicopters na ndege kuzima moto. #HK