Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,660
- 15,744
Ili kutatua changamoto ya upatikanaji wa mafuta hapa nchini, ninaiomba serikali iipe mradi chuo cha SUA wenye thamani angalau ya bilioni 50 kupandikiza miti ya michikichi nchi nzima kwa kila mwananchi atakayetaka hasa katika mikoa ya Kigoma, Tanga na Mbeya ili baada ya miaka kumi tusiwe na tatizo la mafuta na hii itawasaidia wananchi kuinuka kiuchumi.
Mradi huu utahusisha kuotesha mbegu na kupandikiza miti angalau kumi hadi mia kwa kila mwananchi mwenye ardhi bila malipo.
Kupiga hatua ni sasa na kupanga ni kuchagua.
Mradi huu utahusisha kuotesha mbegu na kupandikiza miti angalau kumi hadi mia kwa kila mwananchi mwenye ardhi bila malipo.
Kupiga hatua ni sasa na kupanga ni kuchagua.