Kwa hiyo mhalifu asikamatwe kisa kuogopa siasa!!!!!
Kuwa ukiwa kwenye uchaguzi wanasiasa ruksa kufanya uhalifu na sheria hazitakiwi kufanya kazi zinatakiwa zisimame zisubiri uchaguzi upite!!! hakuna kitu kama hicho Lisu akifika ni kukamata na kupeleka segerea.Sheria huwa hazisimami na mahakama na rumande huwa zinaendelea kama kawaida kupokea wahalifu
Sikutegemea kukuta Uzi mwingine asubuhi hii wenye maudhui yanayofanana, Tena nyuzi zimepishana DK 3. Tumainiel una shida Gani? Ulihusika tukio la September 7? Mbona una hofu sana?
Kwani lisu kukaa rumande siyo leo etiULINZI atapewa hadi Segerea rumande bila shida
Damn! Umesema the chosen..........!?, 😁😁😁 kweli kuna watu wanaabudiwa aiseeee.Tutakuwepo kumpokea “The chosen one”..
Debe linakuhusu😃Wakuu wa vyombo vyote vya Ulinz tafadhalini mulikeni kwa ukaribu sana mapokez ya mtu anaitwa Lisu
Njia zakufanya fanyeni kama Mossad walivyo weza peleka watu wao kwenye vikao vya siri vya Ussr jambo lilisaidia cia kupata mipango hatari ya Ussr ya zamani.
Pia mulikeni makundi special ya...
Pia kuna key people mnaitaji kuwafuwatilia kwa umakini sana mwisho mtanielewa mm natoa ushauri kutokana na kufuwatilia menendo ya mada kutoka blog tofauti nikaja na hii solutution. Huwitaji kupulizia upupu watu wengi wasio juwa wanaenda wapi mpulizie upupu mpangaji wa mipango arudi nyumbani akakunwe na familia yake.
Najuwa na hili nalo litapita.
Unaharisha sana , tatizo nini ?Wakuu wa vyombo vyote vya Ulinz tafadhalini mulikeni kwa ukaribu sana mapokez ya mtu anaitwa Lisu
Njia zakufanya fanyeni kama Mossad walivyo weza peleka watu wao kwenye vikao vya siri vya Ussr jambo lilisaidia cia kupata mipango hatari ya Ussr ya zamani.
Pia mulikeni makundi special ya...
Pia kuna key people mnaitaji kuwafuwatilia kwa umakini sana mwisho mtanielewa mm natoa ushauri kutokana na kufuwatilia menendo ya mada kutoka blog tofauti nikaja na hii solutution. Huwitaji kupulizia upupu watu wengi wasio juwa wanaenda wapi mpulizie upupu mpangaji wa mipango arudi nyumbani akakunwe na familia yake.
Najuwa na hili nalo litapita.
Mhhhhhhhh.... kwa sheria ipi ndugu!?ULINZI atapewa hadi Segerea rumande bila shida
Kama mchawi fulani hivi. Ungekuwa ni wewe unarudi kwenu Magu, ungejisikiaje kufanyiwa haya uliyoyaeleza.Wakuu wa vyombo vyote vya Ulinz tafadhalini mulikeni kwa ukaribu sana mapokez ya mtu anaitwa Lisu
Njia zakufanya fanyeni kama Mossad walivyo weza peleka watu wao kwenye vikao vya siri vya Ussr jambo lilisaidia cia kupata mipango hatari ya Ussr ya zamani.
Pia mulikeni makundi special ya...
Pia kuna key people mnaitaji kuwafuwatilia kwa umakini sana mwisho mtanielewa mm natoa ushauri kutokana na kufuwatilia menendo ya mada kutoka blog tofauti nikaja na hii solutution. Huwitaji kupulizia upupu watu wengi wasio juwa wanaenda wapi mpulizie upupu mpangaji wa mipango arudi nyumbani akakunwe na familia yake.
Najuwa na hili nalo litapita.
Yes ni kweli.Kuna tetesi Pascal Mayalla utafanya live coverage..
Je, lisemwalo ni kweli!?
Jela ni sehemu ya maisha kuna watu wanaishi hukoULINZI atapewa hadi Segerea rumande bila shida
Hujamsikia Jpm ujumbe kwa vyombo vya dola? Nyie ndo mnaojipendekezaULINZI atapewa hadi Segerea rumande bila shida
Ben mlimzika wapi?Wakuu wa vyombo vyote vya Ulinz tafadhalini mulikeni kwa ukaribu sana mapokez ya mtu anaitwa Lisu
Njia zakufanya fanyeni kama Mossad walivyo weza peleka watu wao kwenye vikao vya siri vya Ussr jambo lilisaidia cia kupata mipango hatari ya Ussr ya zamani.
Pia mulikeni makundi special ya...
Pia kuna key people mnaitaji kuwafuwatilia kwa umakini sana mwisho mtanielewa mm natoa ushauri kutokana na kufuwatilia menendo ya mada kutoka blog tofauti nikaja na hii solutution. Huwitaji kupulizia upupu watu wengi wasio juwa wanaenda wapi mpulizie upupu mpangaji wa mipango arudi nyumbani akakunwe na familia yake.
Najuwa na hili nalo litapita.