Serikali iwe makini na mapokezi ya Lissu, msisubiri hali ikiwa tete

Mie naamin kabisa. Km rais wetu mpendwa ataamrisha aman ck ya ujio wa lissu. Akatangaza ulinzi na kumfanya km mwanaccm mwenzake. Lissu akaishi kwa aman kuanzia kuripoti hd kampeni hd uchaguzi. Wallah Tanzania itakuwa na aman ya ajabu haototokea, pia lissu qnaweza muunga mkono raisi aendelee na uongozi

Kinyume chake. Wakileta vipigo mashtaka na kesi kwa lissu na wafuasi wake. Naamin pia watz hawa waongo waongo na waoga waoga wanaweza shindwa. Coz ht life lao lishabana. Wakienda KWENYE vurugu hawana cha kupoteza.

Zamani watz walikuwa na mishe nyingi za kufanya kiasi kwamba kukitosa KWENYE vurugu inaweza kuwacost. Lkn sasa wapo tu na vibiashara uchwara full time kusifia ht visivyosifiika Ni rahisi kwao kukitoa muhanga

Ni km ushauri serikali mnaweza kudhibiti amani ya nchi hii kwa diplomasia nyepesi sana. Yaan ulinzi wa lissu inatosha kabisa wallah rais kupeperusha ushindi kwa kishindo

Itaniuma mh magufuli asiposhinda
 
mleta mada anapata tabu sana na jina TL...acha kuweweseka mkuu au umewahi kushiriki mauaji ya mtu?!.
 
Kwa hiyo mhalifu asikamatwe kisa kuogopa siasa!!!!!

Kuwa ukiwa kwenye uchaguzi wanasiasa ruksa kufanya uhalifu na sheria hazitakiwi kufanya kazi zinatakiwa zisimame zisubiri uchaguzi upite!!! hakuna kitu kama hicho Lisu akifika ni kukamata na kupeleka segerea.Sheria huwa hazisimami na mahakama na rumande huwa zinaendelea kama kawaida kupokea wahalifu
Amehalifu nini?
 
Nyie mabeberu weusi hamuachi tu kujipendekeza kwa dikteta wenu na ameshachoka unafiki wenu. Tunamsubiri Lisuu shujaa na nikodokezee tu mapokezi hayo hayajawahi kuwepo hapa nchini.
Wakuu wa vyombo vyote vya ulinzi tafadhalini mulikeni kwa ukaribu sana mapokezi ya mtu anaitwa Lissu.

Njia za kufanya, fanyeni kama Mossad walivyoweza peleka watu wao kwenye vikao vya siri vya USSR, jambo lililosaidia CIA kupata mipango hatari ya USSR ya zamani.

Pia mulikeni makundi special.

Pia kuna key people mnaitaji kuwafuwatilia kwa umakini sana mwisho mtanielewa. Mimi natoa ushauri kutokana na kufuatilia mienendo ya mada kutoka blog tofauti nikaja na hii solution.

Huhitaji kupulizia upupu watu wengi wasiojuwa wanaenda wapi, mpulizie upupu mpangaji wa mipango arudi nyumbani akakunwe na familia yake.

Najua na hili nalo litapita.
ULINZI atapewa hadi Segerea rumande bila shida
Dogo teuzi zimeshajaa ww kanywe mbege
Utakuwepo kwenye mapokezi?
Kwa hiyo mhalifu asikamatwe kisa kuogopa siasa!!!!!

Kuwa ukiwa kwenye uchaguzi wanasiasa ruksa kufanya uhalifu na sheria hazitakiwi kufanya kazi zinatakiwa zisimame zisubiri uchaguzi upite!!! hakuna kitu kama hicho Lisu akifika ni kukamata na kupeleka segerea.Sheria huwa hazisimami na mahakama na rumande huwa zinaendelea kama kawaida kupokea wahalifu
Hayo maeneo yote yalianzishwa na Muzungu kwa ajili ya Muzungu na Muhindi, sisi maeneo yetu yalikuwa Magomeni, Temeke, na kwingineko, lkn mpaka leo hii tumeshindwa kabisa kuanzisha maeneo yetu mapya yenye hadhi na mazingira ya kuvutia kama vile ilivyo O'bey, Masaki au Upanga, sasa ni kwa nini? Nyerere alijaribu kuanzisha Sinza ambayo labda ingekuwa kama Upanga lkn matokeo yake uchafu tu, akaanzisha Mbezi Beach ambayo ndiyo ilipaswa kuwa O'bey yetu alifanikiwa mwanzoni Mbezi beach ilikuwa upscale lkn sasa hivi Mbezi beach haina tofauti na Mwenge, Magomeni au Kigogo, uchafu kila mahali, bodaboda wauza miwa mihogo barabarani, mvua zikinyesha ni maji hayapiti wamejenga kwenye mito, maeneo ya wazi yamejengwa yote hakuna parks, public beach kama Coco hakuna wamejenga hotels na mavila yao na kuziba kila kitu, Upanga, O'bey, Ada estate bado yanabakia kuwa maeneo mazuri na tulivu yasiyo na kelele na ushenzi, kwa nini? Sasa hivi wamehamia sijui Mbweni, kunavutia kwa sasa muda si mrefu Wahamiaji kutoka Mikoani watajaa wataleta bodaboda, wauza juice chafu, Makanisa ya kilokole kelele usiku kucha na itageuka Kimara Baruti.

Kwa nini tunashindwa kujenga maeneo mazuri na tulivu ya kuishi kwa raha na amani?
Mitaa yenyewe unayoitaja haijajengwa kwa utaratibu, ni mitaa ya hovyo hivyo tu ila ina nyumba nzuri nzuri.

Kinachotofautisha masaki na mbagala ni thamani ya nyumba lakini sio mpangilio wa mitaa na ubora wa nyumba zilizoko huko.

Kwa mpangilio wa mitaa masaki, Ada estate na obey haina tofauti na gongo la mboto au mbagala.

Hii nchi kwenye mipango miji na mitaa ni sifuri, hakuna mahala tumefanikiwa. Dodoma wale cda walipaswa kupewa kezi za uhujumu uchumi.
 
Wakuu wa vyombo vyote vya ulinzi tafadhalini mulikeni kwa ukaribu sana mapokezi ya mtu anaitwa Lissu.

Njia za kufanya, fanyeni kama Mossad walivyoweza peleka watu wao kwenye vikao vya siri vya USSR, jambo lililosaidia CIA kupata mipango hatari ya USSR ya zamani.

Pia mulikeni makundi special.

Pia kuna key people mnaitaji kuwafuwatilia kwa umakini sana mwisho mtanielewa. Mimi natoa ushauri kutokana na kufuatilia mienendo ya mada kutoka blog tofauti nikaja na hii solution.

Huhitaji kupulizia upupu watu wengi wasiojuwa wanaenda wapi, mpulizie upupu mpangaji wa mipango arudi nyumbani akakunwe na familia yake.

Najua na hili nalo litapita.



Hivi mtu karudi nyumbani mzima kupokelewa na washabiki wake inabadilika vipi tena kuwa mambo ya usalama???!!
 
Ni bora nikampokee mpinzani anae tetea mabeberu kuliko hawa wanao jikweza kwa JPM ili wapate vyeo vya uteuzi, wajaze matumbo yao inakera sana

Saivi hamna anae jipendekeza kwa JK
 
Back
Top Bottom