YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,900
- 52,050
cc RAIS
Tamisemi
halmashauri
serikali kuu
kuna wazee katika halmashauri zetu ambao unakuta wamebakiza miaka miwili mmoja au hata mitatu, sasa hawa watu kwakweli kutokana na maisha ya kufanya kazi serikalini kutokua katika kiwango cha umoja wa kimataifa katika mishahara cha kuishi above dollar moja, unakuta hawa watu wengi wamechoka kimwili na kiakili, '' sio wote''but ni wengi sana sasa unakuta kazi hawafanyi na baadhi ni wakuu wa vitengo kazi hazifanyiki kwa wakati espeial hii kasi ya mh raisi kasi yao ni ndogo mno kama mjuavyo serikalini kazi zinafanyika kutokana na uamuzi wa mtumishi yeye ndio anaamua lini afanye sio u urgency wa hio kazi. sasa hawa utakuta wanaenda tu kuzuga pale offisini wataonyesha sura zao then hao wanaendelea na mishe zao ukiwauliza wanakwambia tunasubiri muda wetu iushe tu retire tupate mafao yetu na wengi wameisha calculate kabisa kwa hio akili yake yote imehamia kwenye mafao
sasa mi nilikua ninaomba baadhi yao badala ya wao kusubiri huo muda serikali iwasaidie kuwa staafisha mapema ili wenye nguvu waendelee na kazi na pia kupunguza gharama ya mishahara ya hio miaka mitatu na vile vile kulisaidia taifa liweze songa mbele fasta maana hawa wazee ni vikwazo kwakweli kwa utendaji wa kazi, tafadhali Tamisemi saidieni hawa wazee wapate mafao yao ndio only thing they are waiting for.
hizi mada zitakua zinaendelea kidogogkidogo tunajaribu kufanya research kwa nini hatuendelei Africa(Tanzania case study) sasa moja ya sababu ni utendaji kazi wa watumishi sasa hako ni ka line kamoja ili watu wasiboreke na kuchoka nitakua napakua kidogokidogo na wengine pia tunachangia mawazo yetu tuisaidie nchi yetu iendelee tuivunje hii chain ya kutokuendelea tutagusa kila sehemu, economical,politica,social,envoronmental, kila sehemu
Wewe mwenyewe mleta maada wafaa pia kupunguzwa.Huu uandishi wako sijui hata komputa kama unajua kuitumia vizuri.Ukipewa kazi ya kuandika ripoti kwa uandishi wako huu sidhani kama utabaki ofisini.