Jioni hii kupitia taarifa ya habari nimeshuhudia taarifa ya kuhuzunisha sana jinsi wakulima wa mihogo kutoka Wilaya ya Handeni walivyopata hasara ya kuharibikiwa kwa tano 200 za mihogo.
Wakulima hawa waliingia mkataba na Kampuni moja ya Dar es Salaam kununua mihogo yao yote watakayolima lakini kinyume na makubaliano hayo kampuni hiyo haikutimiza ahadi yake.
Serikali ipo kuona wananchi wanalindwa na kuwezeshwa. Mhe. Bashe tunakuamini kwa msimamo wako wa kuwatetea wakulima.
Tunakuomba uchukue hatua stahiki ili wakulima hawa wapate haki yao.
Wakulima hawa waliingia mkataba na Kampuni moja ya Dar es Salaam kununua mihogo yao yote watakayolima lakini kinyume na makubaliano hayo kampuni hiyo haikutimiza ahadi yake.
Serikali ipo kuona wananchi wanalindwa na kuwezeshwa. Mhe. Bashe tunakuamini kwa msimamo wako wa kuwatetea wakulima.
Tunakuomba uchukue hatua stahiki ili wakulima hawa wapate haki yao.