Wakulima na wafugaji Wilaya ya Chamwino kando ya bwawa la Mtera kufukuzwa?

Zombi Mweusi

JF-Expert Member
Feb 9, 2017
842
1,743
Wakuu kumekuwa na habari zinatoka kando ya bwawa la mtera hasa maeneo ya kijiji cha mlazo kuwa wakulima na wafugaji wa kimasai wanafukuzwa kupisha hifadhi ya mbuga ya wanyama ambayo haina jina

Wanafukuzwa pia kupisha samia project inayohusu kilimo
Wnafukuzwa pia kupisha project ya mchina ambae hawajui anafanya ishu gani

Tatizo linakuja hawa wakulima na wafugaji kutokulipwa hata sent ya maeneo yao na uwepo wa viongozi wakubwa wanaokuja kwa siri bila ya kuwa na msafara

Cha ajabu nimeenda google labda kuitafuta hiyo miradi iliyo wilaya ya chamwino kata ya ngh'ambako kijiji cha mlazo na vitongoji vyake haipo

Ajabu zaidi ni ukubwa wa miradi na usiri wa hata waandishi wa habari kutoweza kuwajuza watu nini kinaendelea kule

Habari hizi nimezipata kutoka kwa mmoja wa wafanyakazi aliyopo huko shamba wakuu mliopo mitaa hiyo hasa kina mpwayungu village unaweza tujuza zaidi maana ni karibu na huko
 
Huko sasa wanakwenda mbali.
Kwani Zanzibar hakuna maeneo mpaka wafukuze watu wetu?
Mkuu hii nchi ukiwa mnyonge ni mnyonge tu,kuna tajiri mmoja anaitwa paselela yeye ana ng'ombe nyingi wanasema hajajua waliongea nini na viongozi wa juu maana walifika kwake na baada ya siku nne gari zilienda kwa yule mzee kuhamisha mifugo mingine akaipeleka morogoro
 
Mwandishi mwenyewe ni maulidi khanga unategemea nini zaidi ya mipasho? Hakuna kitu pale
 
HATA BONDO YA MSWAKI KILINDI TANGA WATU ZAIDI YA 7000 WANAFUKUZWA NDANI YA HEKTARI 11 ALFU WANAPEWA WAWEKEZAJI.
 
Kumbe ndio maana Lukuvi alipandishwa cheo na kua boss wa mawaziri na Mabula nae akatupisha kwa kua tuna Jambo letu.
 
KIZIMKAZI hana muda huo na Watanganyika. Tuamke kabla mambo sio mabaya sana
 
Back
Top Bottom