Serikali ivunje Mkataba na hospitali za Kanisa, ielekeze hizo Bilioni 30 kwenye Matibabu ya wazee na wajawazito

Covax

JF-Expert Member
Feb 15, 2021
6,289
21,482
Mkataba usiokua na ukomo kati ya serikali na tasisi za Kanisa uliosainiwa mnamo mwaka 1992, umekua gumzo nchi nzima.

Baadhi ya wananchi wanaona huu mkataba ni upotevu wa pesa ya walipa kodi kwasababu hizo hospitali za kanisa bado zinawatoza pesa kubwa kwajili ya matibabu kama hospitali zingine za private.

Wanasema badala ya kuendelea na unyoonyaji wa kanisa dhidhi ya raia masikini bora serikali ibuni njia ya kulipia bima kwa wazee ambao ni 65yrs and above ni 22% ya raia wote na wakina mama wajawazito na watoto wao wachanga ili wapate uhuru wa kuchagua wapi kutibiwa kuliko kupoteza mabillioni ya pesa kwenye kanisa yenye uwezo wa kujiendesha.

Huo ni wizi kwa wa Tanzania wote. Tukemee mikataba ya aina hii.
 
Mkataba usio kua na ukomo kati ya serikali na tasisi za kanisa ulio sainiwa mnamo mwaka 1992, umekua gumzo nchi nzima baadhi ya wananchi wana ona hu mkataba l ni upotevu wa pesa ya walipa kodi, kwasabb hizo hospitali za kanisa bado zina watoza pesa kubwa kwajili ya matibabu kama hospitali zingine za private. Wana sema badala ya kuendelea na unyoonyaji wakanisa dhidhi ya raia masikini bora serikali ibuni njia ya kulipia bima kwa wazee ambao ni 65yrs and above ni 22% ya raia wote na wakina mama wajawazito na watoto wao wachanga, ili wapate uhuru wa kuchagua wapi kutibiwa kuliko kupoteza ma billion ya pesa kwenye kanisa yenye uwezo wa kujiendesha huo, ni wizi kwa wa Tanzania wote. Tukemea mikataba ya aina hi.
Hiyo pesa inatosha kuhudumia hiyo asilimia ya vulnerable people katika nchi sioni sababu kwanini serikale inaendelea kulea kanisa na kuumiza raia masikini ilihari serikali haina dini.
 
Mkataba usio kua na ukomo kati ya serikali na tasisi za kanisa ulio sainiwa mnamo mwaka 1992, umekua gumzo nchi nzima baadhi ya wananchi wana ona hu mkataba l ni upotevu wa pesa ya walipa kodi, kwasabb hizo hospitali za kanisa bado zina watoza pesa kubwa kwajili ya matibabu kama hospitali zingine za private. Wana sema badala ya kuendelea na unyoonyaji wakanisa dhidhi ya raia masikini bora serikali ibuni njia ya kulipia bima kwa wazee ambao ni 65yrs and above ni 22% ya raia wote na wakina mama wajawazito na watoto wao wachanga, ili wapate uhuru wa kuchagua wapi kutibiwa kuliko kupoteza ma billion ya pesa kwenye kanisa yenye uwezo wa kujiendesha huo, ni wizi kwa wa Tanzania wote. Tukemea mikataba ya aina hi.
Mbona unaandika ujinga hivi? We unadhani hospitali zipo kwa ajili ya manufaa ya kanisa au wananchi? Wanaotibiwa Bugando ni wakristo tu? Ukienda Hospitali huwa unaangalia kwanza mmiliki ni dini gani? Au huwa unaangalia Daktari anae kutibu ni dini gani. Hichi ulichoandika ni ujinga wa kiwango cha Phd.

Naimani baba au Babuyako akiugua kama yuko hoi ataacha kwenda kutibiwa hospitali kama Bugando kwa sababu ni ya kanisa

Elewa maana ya PPP
 
Mbona unaandika ujinga hivi? We unadhani hospitali zipo kwa ajili ya manufaa ya kanisa au wananchi? Wanaotibiwa Bugando ni wakristo tu? Ukienda Hospitali huwa unaangalia kwanza mmiliki ni dini gani? Au huwa unaangalia Daktari anae kutibu ni dini gani. Hichi ulichoandika ni ujinga wa kiwango cha Phd.

Naimani baba au Babuyako akiugua kama yuko hoi ataacha kwenda kutibiwa hospitali kama Bugando kwa sababu ni ya kanisa

Elewa maana ya PPP
Soma tena thd uielewe kisha futa huu upupu wako.
 
Mtu analinganisha MoU ya kulinda miundombinu ya hospital na mkataba wa kugawa kwa mwarabu bandari zote, special economic zones, ardhi ya ukubwa wowote na strategic areas zote.
Wanasahau chanzo cha MoU hiyo ni uharibifu waliokuwa wanafanya wao kwenye miundombinu ya kanisa.

Kama ni kuvunja hiyo Mou bora ivunjwe lakini mali za nchi zisichezewe
 
Mbona unaandika ujinga hivi? We unadhani hospitali zipo kwa ajili ya manufaa ya kanisa au wananchi? Wanaotibiwa Bugando ni wakristo tu? Ukienda Hospitali huwa unaangalia kwanza mmiliki ni dini gani? Au huwa unaangalia Daktari anae kutibu ni dini gani. Hichi ulichoandika ni ujinga wa kiwango cha Phd.

Naimani baba au Babuyako akiugua kama yuko hoi ataacha kwenda kutibiwa hospitali kama Bugando kwa sababu ni ya kanisa

Elewa maana ya PPP
Jaribu kuficha ujinga wako ni wap kasema wanaotibiwa ni wakristo pekee. Mleta mada kasema JAPO KUNA RUZUKU LAKINI HIZO HOSPITAL ZINATOZA WATU GARAMA KUBWA

Usiruhusu hisia kweny maslah ya nchi na raia wake
 
Mkataba usio kua na ukomo kati ya serikali na tasisi za kanisa ulio sainiwa mnamo mwaka 1992, umekua gumzo nchi nzima baadhi ya wananchi wana ona hu mkataba l ni upotevu wa pesa ya walipa kodi, kwasabb hizo hospitali za kanisa bado zina watoza pesa kubwa kwajili ya matibabu kama hospitali zingine za private. Wana sema badala ya kuendelea na unyoonyaji wakanisa dhidhi ya raia masikini bora serikali ibuni njia ya kulipia bima kwa wazee ambao ni 65yrs and above ni 22% ya raia wote na wakina mama wajawazito na watoto wao wachanga, ili wapate uhuru wa kuchagua wapi kutibiwa kuliko kupoteza ma billion ya pesa kwenye kanisa yenye uwezo wa kujiendesha huo, ni wizi kwa wa Tanzania wote. Tukemea mikataba ya aina hi.
Mkuu 30bil ni peanut kwa kanisa. Hizo hospital za kanisa zikiwa 100% under church control hata wewe na ndugu zako utaacha kwenda hospital za Serikali ukimbilie hizo za kanisa.

Nashauri kanisa ivunje hiyo MoU na kanisa mapema sana kadri iwezekanavyo
 
Mtu analinganisha MoU ya kulinda miundombinu ya hospital na mkataba wa kugawa kwa mwarabu bandari zote, special economic zones, ardhi ya ukubwa wowote na strategic areas zote.
Wanasahau chanzo cha MoU hiyo ni uharibifu waliokuwa wanafanya wao kwenye miundombinu ya kanisa.

Kama ni kuvunja hiyo Mou bora ivunjwe lakini mali za nchi zisichezewe
Wapi mkataba unasema bandar imegaiwa kwa waarabu.Unaelewa maana ya neno kugawa au umeamua kuzungumza ilimradi
 
Mkataba usio kua na ukomo kati ya serikali na tasisi za kanisa ulio sainiwa mnamo mwaka 1992, umekua gumzo nchi nzima baadhi ya wananchi wana ona hu mkataba l ni upotevu wa pesa ya walipa kodi, kwasabb hizo hospitali za kanisa bado zina watoza pesa kubwa kwajili ya matibabu kama hospitali zingine za private. Wana sema badala ya kuendelea na unyoonyaji wakanisa dhidhi ya raia masikini bora serikali ibuni njia ya kulipia bima kwa wazee ambao ni 65yrs and above ni 22% ya raia wote na wakina mama wajawazito na watoto wao wachanga, ili wapate uhuru wa kuchagua wapi kutibiwa kuliko kupoteza ma billion ya pesa kwenye kanisa yenye uwezo wa kujiendesha huo, ni wizi kwa wa Tanzania wote. Tukemea mikataba ya aina hi.
Du, hamtaki maaskofu waje na mawazo mbadala
 
Mkataba usio kua na ukomo kati ya serikali na tasisi za kanisa ulio sainiwa mnamo mwaka 1992, umekua gumzo nchi nzima baadhi ya wananchi wana ona hu mkataba l ni upotevu wa pesa ya walipa kodi, kwasabb hizo hospitali za kanisa bado zina watoza pesa kubwa kwajili ya matibabu kama hospitali zingine za private. Wana sema badala ya kuendelea na unyoonyaji wakanisa dhidhi ya raia masikini bora serikali ibuni njia ya kulipia bima kwa wazee ambao ni 65yrs and above ni 22% ya raia wote na wakina mama wajawazito na watoto wao wachanga, ili wapate uhuru wa kuchagua wapi kutibiwa kuliko kupoteza ma billion ya pesa kwenye kanisa yenye uwezo wa kujiendesha huo, ni wizi kwa wa Tanzania wote. Tukemea mikataba ya aina hi.
Huu ndio ukweli.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Mkataba usio kua na ukomo kati ya serikali na tasisi za kanisa ulio sainiwa mnamo mwaka 1992, umekua gumzo nchi nzima baadhi ya wananchi wana ona hu mkataba l ni upotevu wa pesa ya walipa kodi, kwasabb hizo hospitali za kanisa bado zina watoza pesa kubwa kwajili ya matibabu kama hospitali zingine za private. Wana sema badala ya kuendelea na unyoonyaji wakanisa dhidhi ya raia masikini bora serikali ibuni njia ya kulipia bima kwa wazee ambao ni 65yrs and above ni 22% ya raia wote na wakina mama wajawazito na watoto wao wachanga, ili wapate uhuru wa kuchagua wapi kutibiwa kuliko kupoteza ma billion ya pesa kwenye kanisa yenye uwezo wa kujiendesha huo, ni wizi kwa wa Tanzania wote. Tukemea mikataba ya aina hi.
Nakuhakikishia hiyo Tsh 36 Billion kwa mwaka kwa hospitali za makanisa (ELCT, RC, Anglican, Moravian etc) si chochote si lolote kwa ukubwa wa huduma wanayotoa nchini kwa Watanzania.

Kuna wilaya zaidi ya 60 ndiyo kwamza zimemaliza kujenga hospitali zao za wilaya ndani ya miaka hii 6 lakini bado hazina uwezo na umahiri wa kuzipiku DDH kadhaa za makanisa hayo.

Hicho kiasi kinachoongelewa ni peanut sana na kwanza kinawakwaza tu hao wamiliki wa mahospitali.
 
Back
Top Bottom