Baada ya mkataba wa DP world kurekebishwa, wa kanisa na serikali upitiwe upya!!

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
9,000
17,909
Tukiachana na mkataba wa DP world na serikali kuna mkataba wa milele kati ya Kanisa na serikali

Huu ni mkataba wa hovyo, wa kipumbavu na wa kipuuzi kupindukia yaani serikali inatoa mabilioni kila mwezi kuendesha mahosptali ya kanisa fulani hivi halafu mapato yakipatikana serikali haipati hata mia

Mwishowe hizo pesa zinaishia kwenda kujenga ulaya huko kwa waasisi

Kuna mambo yanashangaza sana, serikali inagharamia mabilioni halafu gharama za matibabu ni kubwa mnoo

Si mwislam wala sio mkristo anayenufaika na hizi hosptali kigharama au unafuu ukiuliza hizo pesa zinaendaga wapi, bora hata zingebaki hapa huwa zinaenda ulaya!!

Huu mkataba ni wa kipuuzi sana nashindwa kujua kwanini watu wameridhika nao kibaya zaidi ni mkataba wa milele.
 
Ukute Kanisa Katoliki limepewa MoU mpya ya kimyakimya na serikali ili ibadili msimamo wake juu ya IGA ya bandari.

Otherwise sioni ni namna gani maaskofu 37 wanaweza kulamba matapishi yao kwa Kuiacha IGA ile mbovu iendelee kubaki eti kisa kuna vimistari viwili vitatu vya kulaimisha mioyo kwenye HGAs
 
Ukute Kanisa Katoliki limepewa MoU mpya ya kimyakimya na serikali ili ibadili msimamo wake juu ya IGA ya bandari.

Otherwise sioni ni namna gani maaskofu 37 wanaweza kulamba matapishi yao kwa Kuiacha IGA ile mbovu iendelee kubaki eti kisa kuna vimistari viwili vitatu vya kulaimisha mioyo kwenye HGAs
Ajabu sana mkuu
 
Tukiachana na mkataba wa DP world na serikali kuna mkataba wa milele kati ya Kanisa na serikali

Huu ni mkataba wa hovyo, wa kipumbavu na wa kipuuzi kupindukia yaani serikali inatoa mabilioni kila mwezi kuendesha mahosptali ya kanisa fulani hivi halafu mapato yakipatikana serikali haipati hata mia

Mwishowe hizo pesa zinaishia kwenda kujenga ulaya huko kwa waasisi

Kuna mambo yanashangaza sana, serikali inagharamia mabilioni halafu gharama za matibabu ni kubwa mnoo

Si mwislam wala sio mkristo anayenufaika na hizi hosptali kigharama au unafuu ukiuliza hizo pesa zinaendaga wapi, bora hata zingebaki hapa huwa zinaenda ulaya!!

Huu mkataba ni wa kipuuzi sana nashindwa kujua kwanini watu wameridhika nao kibaya zaidi ni mkataba wa milele.
Mbona huu sii mwezi wa futari huu mvimbio umeupata wapi kipindi hiki?
 
Serikali bado haina shule wala Hospitali za maana bado wanategemea sana Kanisa Katoliki.

Mtasubiri Sana😁
 
Back
Top Bottom