Bombardear
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 241
- 193
mpishi mgosi bado yupo?Kwa heshima na taadhima ni maombi yetu/ yangu mamlaka zinazohusika kuchukua hatua kwa mambo yanayoendelea hapa chuoni Korogwe kwani tangu mkuu wa chuo aliyekuwepo kupandishwa cheo kumekuwa na hali ya taharuki upande wa chakula, Chakula hakieleweki kwani chakula kinachopikwa ni zaidi yakibovu, pia huduma muhimu ya maji haipatikani pia maji yanatoka sehemu moja, mkuu wa chuo anapoambiwa anasema yeye amekaimu tuu kwahiyo wasubirie mkuu wa chuo atakaekuja atayashughulikia.Pia vyoo vimejaaa na nyakati za mvua ni mshikemshike.
Mbaya zaidi ni rushwa ya ngono inayoendelea chuoni hapa ikiongozwa na mr GUNDA, MAKATA NA KABOLE .wamekuwa nivinala kwa kuvujisha mitihani kwa kuwahaidi wanafuzi watafaulisha. mtihani kabla ya siku tatu wasichana wanaotembea nao wanakuwa na mitihani yote.
Tumejaribu kupeleka mashtaka kwa mwadili ambaye makata mabaye na yeye ni mufaika wa mabo hayo.amekuwa akizungusha mpaka mnakata tamaa.
Tumejaribu kumruka kwenda anayejiita kaimu mkuu wa chuo anatwambia tuvumilie kwani yeye ni kaimu tuuu hana mamlaka. mamalaka zinazohusika tunaomba mtusaidie
Kama sio kondo€ siku nyingi tu. Ila muwe makini nae hata sura sasa inaonyesha mambo si shwari.
Mgosi nasikia alihamishiwaga Miono Secmpishi mgosi bado yupo?
Umenikumbusha mbali Sana haswa bweni la Kosovo na azimio Ni balaahapo chuo be vyoo ni kama jela
Umenikumbusha mbali Sana haswa bweni la Kosovo na azimio Ni balaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna yule mkufunzi alikuwa wa computer jamaa alikuwa safi sana tulikuwa tunamwita pedeshee fulani alikuwa na kagari kake keupe hivi jamaa alikuwa hana issue na student videmu vilikuwq vinamshodeka kwa kumwita SIR, Jamaa alikuwa serious na kazi ila class alikuwa mcheshi sanadogo piga buku life is tough, kila sehemu, ngono IPO, je ukifika universitywatu daily kulana tu, ww kula kwa machothen acha apo apo, ukifika kazini utakuta pia head teacher anakula std seven wake utaripot na hiiipiga book.
Sent using Jamii Forums mobile app
katikati bweni milambo. vyoo vinanuka mpaka mbu wanakufaUmenikumbusha mbali Sana haswa bweni la Kosovo na azimio Ni balaa
Sent using Jamii Forums mobile app