wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,797
Kama mnavyojua aliekuwa Waziri wa Fedha kipindi hicho ni Dkt. Mpango na kwa sasa ni Makamu wa Rais hivyo noti za fedha zilikuwa na saini yake akiwa kama Waziri, kwa sasa Waziri Ni mwingine je! Kwanini saini ya Waziri husika isiwekwe kwenye noti?
Mpaka sasa akija mgeni asiyejua au mtoto anaenza kujua hela /noti akasoma yale maelezo pale kwa haraka haraka wanaona Waziri bado ni Mpango wakati Waziri kwa sasa mtu mwingine. Je, hili limekaaje?
Mpaka sasa akija mgeni asiyejua au mtoto anaenza kujua hela /noti akasoma yale maelezo pale kwa haraka haraka wanaona Waziri bado ni Mpango wakati Waziri kwa sasa mtu mwingine. Je, hili limekaaje?