Serikali isimamie Tamko la Maaskofu lisisomwe Kanisani

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Apr 9, 2021
2,102
2,716
Tulifikirie hili swala bila jazba kwa sababu ni jambo ambalo linaweza kuhatarisha amani ya nchi. Propaganda hiyo itakayotokea na huo waraka wa TEC kusomwa Kanisani ni jambo ambalo serikali itashindwa kutanzua.

TEC imetoa tamko na serikali imesikia, hiyo inatosha. Serikali iingize mkono Kanisani. That is my robotic advice. Vinginevyo sasa, tutakuwa na serikali ngapi?
 
Tulifikirie hili swala bila jazba. Kwa sababu ni jambo ambalo linaweza kuhatarisha amani ya nchi.
Propaganda hiyo itakayotokea na huo waraka wa TEC kusomwa Kanisani ni kambo ambalo serikali itashindwa kutanzua.
TEC imetoa tamko na serikali imesikia. Hiyo inatosha.
Serikali iingize buti Kanisani. That is my robotic advice.
Vinginevyo sasa,tutakuwa na serikali ngapi?
Unateseka ukiwa wapi? It is too late to fight the Church of God.
 
Tulifikirie hili swala bila jazba. Kwa sababu ni jambo ambalo linaweza kuhatarisha amani ya nchi.
Propaganda hiyo itakayotokea na huo waraka wa TEC kusomwa Kanisani ni kambo ambalo serikali itashindwa kutanzua.
TEC imetoa tamko na serikali imesikia. Hiyo inatosha.
Serikali iingize buti Kanisani. That is my robotic advice.
Vinginevyo sasa,tutakuwa na serikali ngapi?
 
Tulifikirie hili swala bila jazba. Kwa sababu ni jambo ambalo linaweza kuhatarisha amani ya nchi.
Propaganda hiyo itakayotokea na huo waraka wa TEC kusomwa Kanisani ni kambo ambalo serikali itashindwa kutanzua.
TEC imetoa tamko na serikali imesikia. Hiyo inatosha.
Serikali iingize buti Kanisani. That is my robotic advice.
Vinginevyo sasa,tutakuwa na serikali ngapi?
Hahahaaa buti kanisani? Unaota au ndio hiyo AI . Serikali ni Moja lazima isikie, zipo njia mbali mbali za upashanaji habari katika kanisa na Moja wapo ni barua zi kaskofu au kipapa kusomwa makanisani na katika jumuiya ndogo ndogo! Kwamba Serikali imeshupaza shingo na wapambe wake wanazidi kuizamisha, mama kanisa ameamua na yeye kuwafikishia wananchi ujumbe wake.
Huyo polisi anayeingiza buti kanisani na yeye ni muumini ambaye anamhofia Mungu anayemlinda katika shughuli zake za Kila siku. Jaribuni muone
 
Tulifikirie hili swala bila jazba. Kwa sababu ni jambo ambalo linaweza kuhatarisha amani ya nchi.
Propaganda hiyo itakayotokea na huo waraka wa TEC kusomwa Kanisani ni kambo ambalo serikali itashindwa kutanzua.
TEC imetoa tamko na serikali imesikia. Hiyo inatosha.
Serikali iingize buti Kanisani. That is my robotic advice.
Vinginevyo sasa,tutakuwa na serikali ngapi?
It is too late mkuu. Umeshasomwa leo.
 

Attachments

  • 8C5789FB-E178-410E-B7BC-9E06FD838A66.jpeg
    8C5789FB-E178-410E-B7BC-9E06FD838A66.jpeg
    73.4 KB · Views: 1
  • IMG_2047.MP4
    1.2 MB
TEC Taasisi kubwa sana, binafsi nakiri ya kwamba wametusemea tusio na sauti!
Acha kujidharu ha kuhandle over sovereinity yako. We huna sautu kweli? Umeipelwka wapi. Hivi mbona mnawaona maaskofu kwa miungu hivi. Karibu I kwenye uislam dini ya haki ambapo kila mtu ni sawa hakuna kuabudiana. Dini ya mwenyezi mungu Huwa Haina superior over others.
 
Tulifikirie hili swala bila jazba. Kwa sababu ni jambo ambalo linaweza kuhatarisha amani ya nchi.
Propaganda hiyo itakayotokea na huo waraka wa TEC kusomwa Kanisani ni kambo ambalo serikali itashindwa kutanzua.
TEC imetoa tamko na serikali imesikia. Hiyo inatosha.
Serikali iingize buti Kanisani. That is my robotic advice.
Vinginevyo sasa,tutakuwa na serikali ngapi?
Hiyo ndiyo demokrasia - mawazo tofauti yanakubalika, mnashindana kwa hoja. Ukiingiza buti Kanisani itabidi uingize buti misikitini na majamatini. Lete hoja za maana - siyo kupiga vuvuzela tu!
 
Acha kujidharu ha kuhandle over sovereinity yako. We huna sautu kweli? Umeipelwka wapi. Hivi mbona mnawaona maaskofu kwa miungu hivi. Karibu I kwenye uislam dini ya haki ambapo kila mtu ni sawa hakuna kuabudiana. Dini ya mwenyezi mungu Huwa Haina superior over others.
 

Attachments

  • 92E7B866-6CEB-4AF3-80E8-0EACFBBFF43E.jpeg
    92E7B866-6CEB-4AF3-80E8-0EACFBBFF43E.jpeg
    29.7 KB · Views: 2
Tulifikirie hili swala bila jazba. Kwa sababu ni jambo ambalo linaweza kuhatarisha amani ya nchi.
Propaganda hiyo itakayotokea na huo waraka wa TEC kusomwa Kanisani ni kambo ambalo serikali itashindwa kutanzua.
TEC imetoa tamko na serikali imesikia. Hiyo inatosha.
Serikali iingize buti Kanisani. That is my robotic advice.
Vinginevyo sasa,tutakuwa na serikali ngapi?
Mabuti yenyewe yanaliheshimu kanisa, hayatakubali huo ujinga
 
Back
Top Bottom