Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 34,059
- 79,406
Hamjambo wote!
1. Mapema wiki hizi kumekuwa na ongezeko la mabasi ya Mwendokasi Ruti ya Kimara Mbezi.
2. Mabasi ni mapya na mazuri.
3. Kiyoyozi na WiFi kama zote. Password utajua pakuipata.
4. Serikali kwa hilo ipongezwe kwa sababu kama yakiwa hayapo watu wanalalamika na kukosoa. Basi yakiwepo ni uungwana kupongeza na kushangilia.
5. Kingine mabasi yenye Rangi ya Kijani watu wengi wa huu ukanda walikuwa wakilalamika. Hawayapendi na wanapanda Huku wakisononeka.
6. Huku wakihusisha rangi hiyo na rangi ya chama kikuu. Ambapo wakazi wa ukanda huo wa Kimara Mbezi wengi wao sio wapenzi wa chama Kikuyu
7. Ingawaje kijani ni rangi kama rangi zingine. Na katika rangi kuu nzuri Kijani ni miongoni mwa rangi nzuri. Na baadhi ya magombo ya kale huhusisha rangi hiyo kama Rangi ya Peponi.
8. Kwa niaba ya Wapanda Mwendokasi. Naipongeza serikali kwa kusikia kilio cha wananchi wa Kimara Mbezi.
9. Ndio mambo ya serikali hayo. Kuhudumia wananchi wote bila ubaguzi hata kama unajua sio wapenzi wa chama ulichopo.
Barikiweni wote!
TaikonMaster
Kwa sasa Dar es salaam
1. Mapema wiki hizi kumekuwa na ongezeko la mabasi ya Mwendokasi Ruti ya Kimara Mbezi.
2. Mabasi ni mapya na mazuri.
3. Kiyoyozi na WiFi kama zote. Password utajua pakuipata.
4. Serikali kwa hilo ipongezwe kwa sababu kama yakiwa hayapo watu wanalalamika na kukosoa. Basi yakiwepo ni uungwana kupongeza na kushangilia.
5. Kingine mabasi yenye Rangi ya Kijani watu wengi wa huu ukanda walikuwa wakilalamika. Hawayapendi na wanapanda Huku wakisononeka.
6. Huku wakihusisha rangi hiyo na rangi ya chama kikuu. Ambapo wakazi wa ukanda huo wa Kimara Mbezi wengi wao sio wapenzi wa chama Kikuyu
7. Ingawaje kijani ni rangi kama rangi zingine. Na katika rangi kuu nzuri Kijani ni miongoni mwa rangi nzuri. Na baadhi ya magombo ya kale huhusisha rangi hiyo kama Rangi ya Peponi.
8. Kwa niaba ya Wapanda Mwendokasi. Naipongeza serikali kwa kusikia kilio cha wananchi wa Kimara Mbezi.
9. Ndio mambo ya serikali hayo. Kuhudumia wananchi wote bila ubaguzi hata kama unajua sio wapenzi wa chama ulichopo.
Barikiweni wote!
TaikonMaster
Kwa sasa Dar es salaam