Yani hili ndio jibu hapo ni nguo za kiafrika tutafute mshono tuu Shati mikono mifupi au mirefu suruali ya kitambaa au kitenge kwa wanaume. Wanawake nahisi wanastyle nyingi za vitenge. Tena inatakiwa kila ijumaa ofisi zote za serikali wasizohitaji uniform wawe wanatupia vitenge..Kwanini isiwe khanga au vitenge?
Nani aliekwambia mtu akivaa hayo mavazi anaheshimika?watu wanavaa na bado wapogwa shoo za kibabe huku mtaan kama kawaida utasemaje ni vazi la heshima?Kiukweli mwanamke yeyote alivaa hijab anapewa heshima kubwa sana, pia mwanaume akivaa kanzu anaheshimika.
Ni mavazi ambayo yanavalika popote pale bila kipingamizi.
Kuna haja serikali ikapitisha sheria yawe mavazi rasmi.
Hii itapunguza ukakasi wa nguo za hovyo zinazovaliwa siku hizi na wasichana na wavulana.
UONGO MTUPU naona HUJIELEWI KABISAWayahudi wanavaa kanzu mkuu hapo unasemaje?
Hijabu pia linaficha mengi...Kiukweli mwanamke yeyote alivaa hijab anapewa heshima kubwa sana, pia mwanaume akivaa kanzu anaheshimika.
Ni mavazi ambayo yanavalika popote pale bila kipingamizi.
Kuna haja serikali ikapitisha sheria yawe mavazi rasmi.
Hii itapunguza ukakasi wa nguo za hovyo zinazovaliwa siku hizi na wasichana na wavulana.
😃😃Nakuunga mkono mkuu,
Lakini zingevaliwa bila nguo za ndani ndo itakua poa zaidi.
Hahahahaaa weye hutakiwi kuchinja kwa sababu huna dini,ukiachiwa kuchinja utawalisha watu mizoga.Katika Bibilia yote anzia mwanzo mpaka ufunuo wa yohana,hakuna sehemu iliyoandikwa Ukristo ni dini.Mbona huongelei uhusiano wa kanzu na ugaidi ? Vipi uhusiano wa baibui na kuliwa tigo kulinda bikra ?! Tutolee uislamu wako hapa. Haya mamtu sijui hua yakoje profesional prevelege seekers. Kuchinja wanyama mmengangania mnataka tuvae na mavazi yenu pumbavu. Endeleeni kufumuana marinda na mabaibui yenu shwaini.
Kwa Tanzania hiyo ngumuKiukweli mwanamke yeyote alivaa hijab anapewa heshima kubwa sana, pia mwanaume akivaa kanzu anaheshimika.
Ni mavazi ambayo yanavalika popote pale bila kipingamizi.
Kuna haja serikali ikapitisha sheria yawe mavazi rasmi.
Hii itapunguza ukakasi wa nguo za hovyo zinazovaliwa siku hizi na wasichana na wavulana.
Kiukweli mwanamke yeyote alivaa hijab anapewa heshima kubwa sana, pia mwanaume akivaa kanzu anaheshimika.
Ni mavazi ambayo yanavalika popote pale bila kipingamizi.
Kuna haja serikali ikapitisha sheria yawe mavazi rasmi.
Hii itapunguza ukakasi wa nguo za hovyo zinazovaliwa siku hizi na wasichana na wavulana.
pilipili manga imekolea Sana!
@manengelo MTARO!Wekeni picha za wava juba na kina sie tunaovaa kawaida tuone
Huu ni utamaduni wa kiarabu, nadhani sisi tungetumia vazi analovaa combred Kipepe wa kwenye gazeti la Sani,ingependeza sana !!Kiukweli mwanamke yeyote alivaa hijab anapewa heshima kubwa sana, pia mwanaume akivaa kanzu anaheshimika.
Ni mavazi ambayo yanavalika popote pale bila kipingamizi.
Kuna haja serikali ikapitisha sheria yawe mavazi rasmi.
Hii itapunguza ukakasi wa nguo za hovyo zinazovaliwa siku hizi na wasichana na wavulana.
Ulishaona wayahudi wanakula kitimoto?Wayahudi wanavaa kanzu mkuu hapo unasemaje?
HakikaUtamaduni wa Mashariki ya Kati tuwaachie wa huko.