Mohamedi Mtoi
R I P
- Dec 11, 2010
- 3,321
- 6,328
Wanafunzi wa Shule ya msingi Korotambe wilayani tarime wanauziwa penseli ya shilingi 300 kwa shilingi 1000, mwenye biashara hiyo ni mwl elizabeth joseph, huwa anawafunua watoto wa kike kama hawana underskate na kuwalazimisha kuwauzia underskate kwa shilingi 2500 - 3000.
Wanafunzi wasio na underskate hurudishwa nyumbani mpaka wanapopata fedha ya kununua underskate au penseli.
Chanzo: ITV HABARI.
Wanafunzi wasio na underskate hurudishwa nyumbani mpaka wanapopata fedha ya kununua underskate au penseli.
Chanzo: ITV HABARI.