Ili liko wako wazi wala situmii nguvu sana kudadavua.
Nyumba nyingi kwenye miji na majiji hazina umeme wala maji hata kama huduma iyo imefika eneo hilo na ukiongea na mtu mmoja mmoja izo huduma anazihitaji isipokua ile hela ya mkupuo inakua mtihani kwake.
Serikali inakwama wapi kumpelekea huyo mtu huduma halafu wakaingia makubaliano akawa analipa kidogo kidogo kama zifanyazo kampuni za sola?????
Nyumba nyingi kwenye miji na majiji hazina umeme wala maji hata kama huduma iyo imefika eneo hilo na ukiongea na mtu mmoja mmoja izo huduma anazihitaji isipokua ile hela ya mkupuo inakua mtihani kwake.
Serikali inakwama wapi kumpelekea huyo mtu huduma halafu wakaingia makubaliano akawa analipa kidogo kidogo kama zifanyazo kampuni za sola?????