BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,376
- 8,120
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Profesa Joyce Ndalichako amesema uamuzi wa kuongeza malipo ya kila mwezi utafanyika baada ya tathimini kuona uhimilivu wa mifuko ya Hifadhi ya Jamii.
Ndalichako alikuwa akijibu swali kuhusu kuwalipa warithi 67% ya michango pindi mstaafu anapofariki ambapo amesema mafao yanayolipwa hayazingatii asimilia ya michango isipokuwa wastaafu na wategemezi hulipwa kwa mujibu wa kanuni za mafao ya pensheni.
Profesa Ndalichako amesema Mfuko wa PSSSF hulipa mafao ya mkupuo ambayo ni pensheni ya miezi 36 kwa wategemezi wakati NSSF mstaafu anapofariki Mfuko hulipa mafao ya mkupuo sawa na pensheni ya miezi 24 kwa wategemezi.
Ndalichako alikuwa akijibu swali kuhusu kuwalipa warithi 67% ya michango pindi mstaafu anapofariki ambapo amesema mafao yanayolipwa hayazingatii asimilia ya michango isipokuwa wastaafu na wategemezi hulipwa kwa mujibu wa kanuni za mafao ya pensheni.
Profesa Ndalichako amesema Mfuko wa PSSSF hulipa mafao ya mkupuo ambayo ni pensheni ya miezi 36 kwa wategemezi wakati NSSF mstaafu anapofariki Mfuko hulipa mafao ya mkupuo sawa na pensheni ya miezi 24 kwa wategemezi.