Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,964
- 32,365
Wanaukumbi.
Serikali imetenga kiasi cha sh milioni 100 kwa mtu yeyote atakayefichua mtu aliyerusha bomu kwenye mkutano wa kampeni Soweto Arusha.
Serikali imesema itatumia vyombo dola kuakikisha inawatia mikononi wale wote waliohusika na tukio hilo.
SOURCE: BUNGENI.
Serikali imetenga kiasi cha sh milioni 100 kwa mtu yeyote atakayefichua mtu aliyerusha bomu kwenye mkutano wa kampeni Soweto Arusha.
Serikali imesema itatumia vyombo dola kuakikisha inawatia mikononi wale wote waliohusika na tukio hilo.
SOURCE: BUNGENI.