Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,745
- 830,860
- Thread starter
- #81
Nadhani hukunielewa lakini iko hivi unapoendesha gari ya gia na ukapanda mlima huanzi kupanda na gia no moja kwakuwa ikifeli katikati ya mlima umekwisha hivyo unatakiwa kuanza kupanda na gia ndogo ili ikifeli kuna backupHuo mgawanyo wa madaraka ndo umetufikisha hapa tulipo
Nyerere alitumia sana mfumo huu. ! maamuzi ya wakuu wa wilaya maamuzi ya wakuu wa mikoa, maamuzi ya bunge maamuzi ya baraza la mawaziri na maamuzi ya mkuu wa nchi
Mambo ya Mchonga yalienda vizuri kukiwa kuna mfumo rasmi wa uwajibikaji na kipi kifanyike vipi lini na nani ahusike (kwenye serikali hii hakuna kitu kama hiki)
Kuna baadhi ya watendaji wa Mchonga waliboronga tena pengine kwa ushauri wake..lakini kiutendaji akawawajibisha kwakuwa maamuzi husika yalikuwa kwenye ngazi yake
Hatari ya maamuzi yanayotoka juu moja kwa moja ni hii akikosea mkuu nani atamwajibisha? Hii ni sawa na kupanda mlima na gia no moja. ..ikifeli ni zahama!
6