Serikali imepata ugonjwa mbaya

Serikali imepata ugonjwa mbaya

usishangae kumsikia Makonda naye akitoa tamko la kuhamia Dodoma!
Makonda atanunua kiwanja ajenge nyumba Guest House , mbona wakuu wa mikoa yote Tanzania wanaishi Dsm ? Kila Mkuu wa mkoa ana nyumba Dsm wakimaliza kazi hurejea Dsm hata waliwa na nafasi hujichimbia Dsm , sasa wajenge Dodoma ili wasambaze maendeleo nchini kote.
 
Miundombinu Dodoma haijawa rafiki kwa lundo la wafanyakazi watakao hamia huko. Wewe angalia tu kipindi cha bunge Dodoma huwa haitoshi sembuse tuhamishe Ikulu msururu wa vigogo ma mawizara na wafanyakazi wa kada mbalimbali. Mhhhh ngoja tuone hiii movie itakapo ishia.
 
Miundombinu Dodoma haijawa rafiki kwa lundo la wafanyakazi watakao hamia huko. Wewe angalia tu kipindi cha bunge Dodoma huwa haitoshi sembuse tuhamishe Ikulu msururu wa vigogo ma mawizara na wafanyakazi wa kada mbalimbali. Mhhhh ngoja tuone hiii movie itakapo ishia.
Mkuu watahamia slow slow kadri miundombinu inavyoimaarishwa , lakini serikali kuhamia Dodoma italipa unafuu mkubwa jiji la Dsm na maendeleo yatakuja Kwa kasi maana foleni na misafara itakuwa imepungua sana hivyo kuharakisha utoaji huduma.
 
Hivi utabiri wa kila siku wa UKAWA ni kufeli kwa serikali, ni kweli haitafanikiwa!?
Ni bora mkawa neutralistics kuliko kutabiri upumbafu na kujidai eti... Time will tell..
Ombeeni taifa lenu nyumbu nyie
 
Hivi utabiri wa kila siku wa UKAWA ni kufeli kwa serikali, ni kweli haitafanikiwa!?
Ni bora mkawa neutralistics kuliko kutabiri upumbafu na kujidai eti... Time will tell..
Ombeeni taifa lenu nyumbu nyie
Umesoma kwa makini nilichoandika lakini? Au umekurupuka tuu?
 
Kwa hiyo nyie chadema hata hili la kuhamia Dodoma mnalipinga ??

Nakumbuka Mbowe na Lowasa wakati wakiomba kura Dodoma waliahidi serikali ya UKAWA itahamia Dodoma haraka Mara tu baada ya kuapishwa.
Je mlikuwa mnawadanganya watanzania??


Kwa unafiki wenu huu mnafaa kweli kuongoza hata mtaa??
Ni yupi uliyemsikia akipinga serikali kuhamia Dodoma??..yani MTU atekeleze ahadi za CHADEMA alafu wanachadema wampinge??
 
Huko tuendako ni kubaya....
Walioweka mfumo wa utawala wa sheria na mgawanyo wa madaraka na majukumu walifanya hivyo kutokana na uzoefu na shida zilizopata kutokea
Nasikitika kusema kuwa tunachanja mbuga kuelekea vichakani na hatari ni kubwa kwakuwa vichaka vina mengi
Sasa hivi hakuna mipango thabiti ya tulipo na tunakoelekea, akiongea tu Mkuu wa nchi serikali nzima inalipukia huko...tushukuru Mungu mpaka sasa hakuna matamko mabaya sana....lakini hatujui ya kesho...huwezi jua ataamka kesho aseme nini....!
Kwenye mkutano wa kukabidhiwa uenyekiti wa chama pale Dodoma mkuu aliweka nadhiri ya kuhamia Dodoma kabla ya kipindi chake cha kuongoza kwisha...bado ana miaka minne na miezi miwili
Kilichofuatia ni matamko ya mlipuko toka kwa watendaji wake...waziri mkuu akasema atahamia Dodoma mwezi wa tisa, lakini jana waziri Chizeba (kilimo?)akasema yeye atahamia wiki jayo na magazeti yakalipuka na Chizeba ampiga bao waziri mkuu (sort of comedians)
Tusubiri matamko zaidi toka kwa wengine usishangae hata wakuu wa mikoa na wilaya nao wakatoa matamko ya kuhamia Dodoma
Mkuu wenu kasema akishahamia Dodoma wengine watafuata..! Sasa haraka ya nini? Sifa au nidhamu ya woga? Kumbukeni kuhamisha wizara ni tofauti kabisa na kuhamisha familia..!
Kuna mengi ya muhimu ya kufanya kwa sasa acheni hizo
Subiri utasikia mwingine anasema atahamia kesho...
Ni kushindania matamko tu
 
Jiji la Dsm ndilo litapata faida na unafuu mkubwa pindi serikali ikihamia Dodoma kwani moja ya kero kubwa ni misafara na foleni huku idadi ya wahamiaji ikiongezeka Kwa kasi na miundombinu ikiwa bado ni ile ile , Kila kiongozi anataka awe mkazi wa Dsm hawataki kupeleka maendeleo mikoani , huu ni mda wa kusambaza maendeleo Nchi nzima.
 
  • Thanks
Reactions: BDN
Nachoona mimi hapa , tunahamisha matatizo sugu ya Dar na kuyapeleka Dodoma.Hakuna maandalizi makubwa hasa ya upande wa Infrastructure ya mji kwanza.Pili kuna vision ya future huko say miaka mia mbele kwa kuangalia unavyopanga mji na reserves za future expansion za barabara , reli mijini ,makazi n.k.Suala la kuhamia DOM lilisimama kitambo tu na sidhani ni busara kwa kitu kilicho dormant mnakurupuka na kwenda na spidi ya jet
 
Huko tuendako ni kubaya....
Walioweka mfumo wa utawala wa sheria na mgawanyo wa madaraka na majukumu walifanya hivyo kutokana na uzoefu na shida zilizopata kutokea
Nasikitika kusema kuwa tunachanja mbuga kuelekea vichakani na hatari ni kubwa kwakuwa vichaka vina mengi
Sasa hivi hakuna mipango thabiti ya tulipo na tunakoelekea, akiongea tu Mkuu wa nchi serikali nzima inalipukia huko...tushukuru Mungu mpaka sasa hakuna matamko mabaya sana....lakini hatujui ya kesho...huwezi jua ataamka kesho aseme nini....!
Kwenye mkutano wa kukabidhiwa uenyekiti wa chama pale Dodoma mkuu aliweka nadhiri ya kuhamia Dodoma kabla ya kipindi chake cha kuongoza kwisha...bado ana miaka minne na miezi miwili
Kilichofuatia ni matamko ya mlipuko toka kwa watendaji wake...waziri mkuu akasema atahamia Dodoma mwezi wa tisa, lakini jana waziri Chizeba (kilimo?)akasema yeye atahamia wiki jayo na magazeti yakalipuka na Chizeba ampiga bao waziri mkuu (sort of comedians)
Tusubiri matamko zaidi toka kwa wengine usishangae hata wakuu wa mikoa na wilaya nao wakatoa matamko ya kuhamia Dodoma
Mkuu wenu kasema akishahamia Dodoma wengine watafuata..! Sasa haraka ya nini? Sifa au nidhamu ya woga? Kumbukeni kuhamisha wizara ni tofauti kabisa na kuhamisha familia..!
Kuna mengi ya muhimu ya kufanya kwa sasa acheni hizo
Tanzania,na watanzania ni wapevu kimakwelikweli...! Serikali iliyochaguliwa na watanzania, inaakisi upevu wao...sasa tofauti ni kujiliwaza kwa "wafuasi", wa walioshindwa 25/12/2015!
...hakuna kukurupuka!
...serikali inahamia Idodomya kabla ya 2020, na asiefurahishwa na hilo, akale malimao!
 
Ni yupi uliyemsikia akipinga serikali kuhamia Dodoma??..yani MTU atekeleze ahadi za CHADEMA alafu wanachadema wampinge??
Ni kweli Mkuu chadema hawana kipingamizi juu ya kuhamia Dodoma kwani hata kule South Africa makao makuu ya ANC yapo Johannesburg licha ya serikali kuishi Pretoria
 
Loooooh! WaTanzania lipi jema kwetu? miaka yote tunalalamika kuwa serikali haina utashi wa kisiasa kuhamia Dodoma leo JPM amepata huo utashi badala ya kumpongeza tunalalamika wamekurupuka. Black people got problems, big problems.
 
Kwa hiyo nyie chadema hata hili la kuhamia Dodoma mnalipinga ??

Nakumbuka Mbowe na Lowasa wakati wakiomba kura Dodoma waliahidi serikali ya UKAWA itahamia Dodoma haraka Mara tu baada ya kuapishwa.
Je mlikuwa mnawadanganya watanzania??


Kwa unafiki wenu huu mnafaa kweli kuongoza hata mtaa??
Hebu tumia akili kidogo aisee! Hivi unaelewa maana halisi ya HARAKA IWEZEKANAVYO?

Hivi unaweza kulinganisha hiyo kauli na kinachofanywa na hawa mawaziri? Eti "MIMI WIZARA YANGU INAHAMIA DODOMA WIKI IJAYO" seriously!?
 
Wanakurupuka.ndio tatizo la kufanya kazi kwa woga.

Huko tuendako ni kubaya....
Walioweka mfumo wa utawala wa sheria na mgawanyo wa madaraka na majukumu walifanya hivyo kutokana na uzoefu na shida zilizopata kutokea
Nasikitika kusema kuwa tunachanja mbuga kuelekea vichakani na hatari ni kubwa kwakuwa vichaka vina mengi
Sasa hivi hakuna mipango thabiti ya tulipo na tunakoelekea, akiongea tu Mkuu wa nchi serikali nzima inalipukia huko...tushukuru Mungu mpaka sasa hakuna matamko mabaya sana....lakini hatujui ya kesho...huwezi jua ataamka kesho aseme nini....!
Kwenye mkutano wa kukabidhiwa uenyekiti wa chama pale Dodoma mkuu aliweka nadhiri ya kuhamia Dodoma kabla ya kipindi chake cha kuongoza kwisha...bado ana miaka minne na miezi miwili
Kilichofuatia ni matamko ya mlipuko toka kwa watendaji wake...waziri mkuu akasema atahamia Dodoma mwezi wa tisa, lakini jana waziri Chizeba (kilimo?)akasema yeye atahamia wiki jayo na magazeti yakalipuka na Chizeba ampiga bao waziri mkuu (sort of comedians)
Tusubiri matamko zaidi toka kwa wengine usishangae hata wakuu wa mikoa na wilaya nao wakatoa matamko ya kuhamia Dodoma
Mkuu wenu kasema akishahamia Dodoma wengine watafuata..! Sasa haraka ya nini? Sifa au nidhamu ya woga? Kumbukeni kuhamisha wizara ni tofauti kabisa na kuhamisha familia..!
Kuna mengi ya muhimu ya kufanya kwa sasa acheni hizo
 
Kwa hiyo nyie chadema hata hili la kuhamia Dodoma mnalipinga ??

Nakumbuka Mbowe na Lowasa wakati wakiomba kura Dodoma waliahidi serikali ya UKAWA itahamia Dodoma haraka Mara tu baada ya kuapishwa.
Je mlikuwa mnawadanganya watanzania??


Kwa unafiki wenu huu mnafaa kweli kuongoza hata mtaa??
Umetumia kiungo gani kufikiri? MBOWE ni Kiongozu wa CHADEMA akiongea anaongea kwa niaba ya chama chake huyu mleta amekwambia anaongea kwa niaba ya Chadema? Mijitu mingine
 
Huko tuendako ni kubaya....
Walioweka mfumo wa utawala wa sheria na mgawanyo wa madaraka na majukumu walifanya hivyo kutokana na uzoefu na shida zilizopata kutokea
Nasikitika kusema kuwa tunachanja mbuga kuelekea vichakani na hatari ni kubwa kwakuwa vichaka vina mengi
Sasa hivi hakuna mipango thabiti ya tulipo na tunakoelekea, akiongea tu Mkuu wa nchi serikali nzima inalipukia huko...tushukuru Mungu mpaka sasa hakuna matamko mabaya sana....lakini hatujui ya kesho...huwezi jua ataamka kesho aseme nini....!
Kwenye mkutano wa kukabidhiwa uenyekiti wa chama pale Dodoma mkuu aliweka nadhiri ya kuhamia Dodoma kabla ya kipindi chake cha kuongoza kwisha...bado ana miaka minne na miezi miwili
Kilichofuatia ni matamko ya mlipuko toka kwa watendaji wake...waziri mkuu akasema atahamia Dodoma mwezi wa tisa, lakini jana waziri Chizeba (kilimo?)akasema yeye atahamia wiki jayo na magazeti yakalipuka na Chizeba ampiga bao waziri mkuu (sort of comedians)
Tusubiri matamko zaidi toka kwa wengine usishangae hata wakuu wa mikoa na wilaya nao wakatoa matamko ya kuhamia Dodoma
Mkuu wenu kasema akishahamia Dodoma wengine watafuata..! Sasa haraka ya nini? Sifa au nidhamu ya woga? Kumbukeni kuhamisha wizara ni tofauti kabisa na kuhamisha familia..!
Kuna mengi ya muhimu ya kufanya kwa sasa acheni hizo
Hii awamu ya 5 ina drama nyingi bala....maamuzi ya kukurupuka....sipati picha mambo yangekuwaje kama zile chokochoko za yule manzi wa malawi zingetokea leo.
 
Back
Top Bottom