Serikali imepata ugonjwa mbaya

Serikali imepata ugonjwa mbaya

hivi hizi wizara miaka yote zimeshindwa kuwa na visurb wizara mikoani leo ndiyo zinaleta mbwembwe za kuhamia Dodoma?
una manufaa gani kwangu wizara kuhamia huko?
ilhali bado nitasafiri kutoka Nanjilinji kuifuata wizara,
kikubwa muweke na ofisi za kanda tusaidiwe shida zetu huko.
vip nasikia dom viwanja vimepanda bei dakika chache baada ya tamko
 
SEMA WEWE NJIWA ..WENGINE MABUNDI TUKISEMA TUTAAMBIWA TUNALETA UCHUROOO.......

INGEKUWA NI RAHISI KIVILE KUHAMIA DODOMA HATA NYERERE ANGELIISHA HAMIA ZAMANI SANA...ILA ALIPOKUWA AKIPIMA VIPAUMBELE ANAONA KUHAMIA DODOMA SIO LAZIMA NA MUHIMU KULIKO KUSOMESHA WATANZANIA NJE YA NCHI NA KULETA UJUZI NDANI KWETU KWA MAENDELEO YA TAIFA. AU SIO MUHIMU KULIKO KUWEKA MASHINE ZA CT SCAN NA MRI KWENYE KILA HOSPITAL YA WILAYA ILIYOPO TANZANIA.

HAPA HOJA YANGU IWE NI SIO KUHAMIA DODOMA...JE WAKATI TUNAHAMIA DODOMA MAHITAJI MAKUBWA NA YA MUHIMU KWA TAIFA YAMEKWISHA TEKELEZWA?
mpk sasa watumishi hawajaanzwa kulipwa mishahara mipya! sasa...najiuliza pesa za kuhamia Dodoma zimepatikana wapi?wakati huku watumishi hawajapata promosheni na mishahara mipyaa
Haya watumishi hewa nao vile vile bado duuuh!
uchumi wa viwanda nao bado!
Ila kipaumbele Dodoma!
 
Zoezi la kuhamia Dodoma limesitishwa kwa muda usiojulikana na mkuu wa mkoa huo ili kufanya maandalizi na utaratibu wa kueleweka
Hawa itabidi wasubiri au waahirishe yale matamko yao
Jenista Mhagama
Chizeba
Jeshi la polisi
Na wakurupukaji wengine
 
Huko tuendako ni kubaya...


Tusubiri matamko zaidi toka kwa wengine usishangae hata wakuu wa mikoa na wilaya nao wakatoa matamko ya kuhamia Dodoma .

Kuna mengi ya muhimu ya kufanya kwa sasa acheni hizo


Hahahaha mkuu wa mkoa wa wapi atahamia dodoma?
 
mkuu huoni kama kuhamia ddoma kuna faida positive nyingi zaidi?...kwa mtazamo wangu hili nalo ni jukumu lililosubiri utekelezaji kwa muda mrefu sana,...hivyo huo sio uamuzi wa kukkrupuka,hofu ipo na wana-dsm wasio na plan B,C,n.k........kwa amuzi hili mh.Pombe hajabadili gia angani....its habit to hate things you cant counquer,...
 
mkuu huoni kama kuhamia ddoma kuna faida positive nyingi zaidi?...kwa mtazamo wangu hili nalo ni jukumu lililosubiri utekelezaji kwa muda mrefu sana,...hivyo huo sio uamuzi wa kukkrupuka,hofu ipo na wana-dsm wasio na plan B,C,n.k........kwa amuzi hili mh.Pombe hajabadili gia angani....its habit to hate things you cant counquer,...
Kaaazi kweli kweli
 
mkuu huoni kama kuhamia ddoma kuna faida positive nyingi zaidi?...kwa mtazamo wangu hili nalo ni jukumu lililosubiri utekelezaji kwa muda mrefu sana,...hivyo huo sio uamuzi wa kukkrupuka,hofu ipo na wana-dsm wasio na plan B,C,n.k........kwa amuzi hili mh.Pombe hajabadili gia angani....its habit to hate things you cant counquer,...
Sasa wanadarisalama wataathirika vp hapa?
 
Sasa wanadarisalama wataathirika vp hapa?
aisee!..anyway...sehemu kubwa ya wakazi wa dsm inategemea biashara,uwepo wa makao makuu ya serikali mahali pale una umuhimu mkubwa katika mzunguko wa fedha(rem.humo ndimo walipojishikiza most DSMnians)...any need of more explanations?..i think nah!..
 
aisee!..anyway...sehemu kubwa ya wakazi wa dsm inategemea biashara,uwepo wa makao makuu ya serikali mahali pale una umuhimu mkubwa katika mzunguko wa fedha(rem.humo ndimo walipojishikiza most DSMnians)...any need of more explanations?..i think nah!..
Hapana naona kutakuwa na nafuu
 
Nachoona mimi hapa , tunahamisha matatizo sugu ya Dar na kuyapeleka Dodoma.Hakuna maandalizi makubwa hasa ya upande wa Infrastructure ya mji kwanza.Pili kuna vision ya future huko say miaka mia mbele kwa kuangalia unavyopanga mji na reserves za future expansion za barabara , reli mijini ,makazi n.k.Suala la kuhamia DOM lilisimama kitambo tu na sidhani ni busara kwa kitu kilicho dormant mnakurupuka na kwenda na spidi ya jet
Suala la kuhamia dodoma alijawai simama kila awamu ya urais imeliendeleza kwa namna moja au nyingine ofisi nyingi zimeishajengwa huko plus makazi ya viongozi wote yapo
 
Suala la kuhamia dodoma alijawai simama kila awamu ya urais imeliendeleza kwa namna moja au nyingine ofisi nyingi zimeishajengwa huko plus makazi ya viongozi wote yapo
Ingekuwa ni hoja yenye mashiko na faida kwa nchi ingeshafanyiwa kazi siku nyingi mno...lakini kwasasa ni kutaka kutafuta sifa bila kuangalia madhara yake kiuchumi kijamii na kitaifa
 
Back
Top Bottom