...hawa wenye viwanda ni longo longo tuu wanataka kumake profit 1000% huku wakifanyiwa kazi kwa bei ya bure...nchi haiendelei kwa kuwanyonya wafanyakazi na seriakli ishikilie hapo hapo maana tunajua wanachomake na hawatafunga viwanda kwa hiyo mishahara maana still ni midogo sana!