Jamaa anazingua
Kwasasa ni tofauti. NMB asubuhi CRDB jioni
wengine NMB lakini bado mpka sasa
Kumbe ngoma inaenda kimafungu, hatari sana..Nimegundua waliolipwa mpaka sasa ni walimu tu. Wengine bado
wengine NMB lakini bado mpka sasa
nafikiri ngoma inaingia kwa mafungu mm niko CRDB mambo bado labda mpaka jioni
Mkuu una uhakika walimu wamelipwa...... Mpwayungu ni kweli mmelipwa?Wamelipwa walimu tu CRDB na NMB kote zimeingia.
Mkuu una uhakika walimu wamelipwa...... Mpwayungu ni kweli mmelipwa?
duu wengine tumekopwa sio ha haWamelipwa walimu tu CRDB na NMB kote zimeingia.
Ckuwah kujua km mshahara unalipwa kimafungu kulingana na kadaYes nna uhakika wamelipwa
Kuna mabadiliko katika namba au walichelewa kutokana na sababu nyingineduu wengine tumekopwa sio ha ha
Waziri wa fedha anamtwangia pilipili boss wake, ndiyo uone akili za watanzania, fedha za mishahara hakuna, fedha za kurusha ndege kwenda mpirani na kununua magoli zipoCkuwah kujua km mshahara unalipwa kimafungu kulingana na kada
Yaani mayele ndo anafaidi tozo yangu kweli?Waziri wa fedha anamtwangia pilipili boss wake, ndiyo uone akili za watanzania, fedha za mishahara hakuna, fedha za kurusha ndege kwenda mpirani na kununua magoli zipo
🤣Yaani mayele ndo anafaidi tozo yangu kweli?
Ww Nyumisa si ndo umesema umelipwa!!!Yaani mayele ndo anafaidi tozo yangu kweli?