Serikali imeanza kuingiza udini katika sera zake? Suala la masomo ya kiislamu na Divinity yanatoka wapi?

Kwa kuona mbali, kutaanza kuwa na ajira za kidini dini kutokana na masomo ya kidini.
Tunaanza kutaga mayai ya machafuko huko mbele ya safari.

Hili lipingwe kwa nguvu zote.
Inawezekana labda ni warabu ndio wamemshinikiza aweke dini kwenye elimu maana tangu warabu wa DP World waanze kushika nchi, naona mambo mengi yamekuwa na mwelekeo wa kiislamu na kiarabu. Ipo siku tutaamka tutakuta nchi nzima imesilimishwa
 
Inawezekana labda ni warabu ndio wamemshinikiza aweke dini kwenye elimu maana tangu warabu wa DP World waanze kushika nchi, naona mambo mengi yamekuwa na mwelekeo wa kiislamu na kiarabu. Ipo siku tutaamka tutakuta nchi nzima imesilimishwa
Sio kweli kuchukua mfano bachelor of theology vyuo vyetu vingi vinatoa hiyo degree muda mrefu tu shida wengi walikuwa wanashindwa kuingia chuo kikuu kuchukua hizo degree sababu A level kulikuwa hakuna somo la Divinity
Vyuo vikuu vingi vya Kikristo vinahitaji aliyesoma Divinity A leve kujiunga navyo vya ndani na nje ya nchi
 
Tatizo labda ni hizo lugha za nn? Mfano Arabs, itatusaidia nn? Kwann tusisome mining
 
Ni somo hatukatai lakini si mna madrasa , si mna misikiti? Si waalimu wabobevu wapo huko? Wafundishieni huko na muwape vyeti mpaka vya P.H.D lakini msiyaingize kwenye mfumo rasmi wa kiserikali

Dini ni Mila . Nchi yetu Ina Mila nyingi wapagani nao watadai somo lao la kumpinga Mungu liingie kwenye mtaala. UTAKUWA na base gani ya kuwakatalia wakati wananchi wote ni sawa?

Wafuasi wa zumaridi nao watadai elimu juu ya mungu wao zumaridi iingie kwenye mtaala utawakatalia vipi wakati tayari umekubali baadhi ya dini kuingia kwenye mtaala?
 
Swala linaloongelewa ni kuchanganya Serkali na Imani za kidini mkuu inapswa Vingine Uvielewe..
Hupaswi kukaza Shingo..

Serkali haipaswi Kuongeza nguvu katika Kueneza Dini kwa Njia yoyote ile Ni kinyume cha Katiba..
View attachment 2940739
Tuna jidanganya kweli kwa sababu zisizokua na msingi

ndio maana wazungu wanatuletea mazinga umbwe ya kila aina wameshatuona hatujielewi km mmesha haribikiwa upande wenu wezenu wanajielewa ndio wanaweka misingi ya vizazi vyao viwe jamii yenye kuogopa muungu bila kua na jamii iso ogopa mungu unataifa lenye matahira watupu na majambazi kila jambo lina faida ndio mana taifa unaliona limefika hp tulipo kwa kua na viongoz wanoogopa mingu
 
Mkuu uko sawa kabisa na ndo nilichokuwa nakiongea since mwanzo kuwa serikali imekosea sana
 
Tatizo labda ni hizo lugha za nn? Mfano Arabs, itatusaidia nn? Kwann tusisome mining
Sasa hivi mlengo ni kuandaa kila mtu anapoona fursa .Mfano wawekezaji wa kichina hupenda sana kuajiri waliosoma China au wanaojua kichina sababu wawekezaji wengi watching nchini hawajui kiswahili wala kingereza wanajua kichina tu

Pia tuna waarabu wengi wanawekeza nchini hawajui kiswahili wala kingereza wanajua kiarabu tu .Hivyo inakuwa nafasi nzuri kupata wasomi wenye digrii mfano za biashara au uchumi wanaojua kiarabu pia
Ni mkakati wa kupanua soko.la ajira
 
Palestina na Israel ndo mataifa yaliyo na Dini sana..
Saudi arabia ni nchi ya kidini kabisa ..
Huko ndo kumejaa uchafu sana kuliko sehemu zote..

Hawthorne Effects Mlizoletewa na wazungu na Waarabu zinawaumiza sana, Kuona watu nowdays wameamua kuchomoka ndani ya matriclx
 
Hilo neno la Mungu kwani lazima lisimamiwe na serikali?kwenye taasisi za kidini hao wanafunzi hawatoelewa hadi iwe serikalini?hao walimu wanaofundisha hayo masomo wanaolipwa na nan?.Bora waajiriwe walimu wa physics na chemistry kuliko walimu wa dini kazi hiyo ifanywe na Viongozi wa dini.
 
Tatizo hapa ni ukosefu wa exposure
Vyuo vyote vikubwa ulimwenguni huwa vina digrii za dini .
Sisi hapa p8a tunavyo vibatoa digrii za dini .sio kitu kipya level ya digrii sema tatizo A level hakukuwa na masomo ya dini kama combination. YALIKUWA yana8shia O level tu
O.level walimu wa hayo.madomo wapo iwe Bible knowledge au Islamic Studies wapi tayari na wana uwezo wa kufundisha hadi A level
 
Hata mimi nilisoma masomo ya dini na nikafanya mtihani lakini haikuwahi kuandikwa kwenye cheti changu. Ilikuwa ni chaguo langu kwa faida yangu.
 
kijana anaandaliwa kuwa padre au imam unamsomeshaje physics na chemistry si anapaswa kusoma islamic knowledge,
 
Swali la kujiuliza ni je wenye haki ya kusoma masomo ya biashara na dini ni waislamu pekee ?
Kwa nini pia pasiwe na Economics,Business studies and Divinity ?
 

((وَلاَ تَنكِحُواْ الْمُشْرِكَاتِ حَتَّى يُؤْمِنَّ وَلأَمَةٌ مُّؤْمِنَةٌ خَيْرٌ مِّن مُّشْرِكَةٍ وَلَوْ أَعْجَبَتْكُمْ وَلاَ تُنكِحُواْ الْمُشِرِكِينَ حَتَّى يُؤْمِنُواْ وَلَعَبْدٌ مُّؤْمِنٌ خَيْرٌ مِّن مُّشْرِكٍ وَلَوْ أَعْجَبَكُمْ أُوْلَئِكَ يَدْعُونَ إِلَى النَّارِ وَاللّهُ يَدْعُوَ إِلَى الْجَنَّةِ وَالْمَغْفِرَةِ بِإِذْنِهِ وَيُبَيِّنُ آيَاتِهِ لِلنَّاسِ لَعَلَّهُمْ يَتَذَكَّرُونَ))
((Wala msiwaoe wanawake washirikina mpaka waamini. Na mjakazi Muumini ni bora kuliko mshirikina hata akikupendezeni. Wala msiwaoze (binti zenu) wanaume washirikina mpaka waamini. Na mtumwa mwanamume Muumini ni bora kuliko mshirikina hata akikupendezeni. Hao wanawaitia kwenye Moto, na Allaah Anawaitia kwenye Pepo na maghafira kwa idhini Yake. Naye Huzibainisha Aayah zake kwa watu ili wapate kukumbuka)) [Al-Baqarah: 2:221]

Hii clip nyingine, isikilize hadi mwisho

View: https://youtu.be/L5yuw64T6Ys?si=WSELeVG-Vt77KIcw
 
Swali la kujiuliza ni je wenye haki ya kusoma masomo ya biashara na dini ni waislamu pekee ?
Kwa nini pia pasiwe na Economics,Business studies and Divinity ?
Katiba yetu inakataa kuchanganya dini na shughuli za kiserikali.
 
 
Nchi haina dini ila watu wake wanadini hivyo naipongeza sana Serikali kuweka mitaala ya dini yaani Divinity na Islamic.....hakuna atakaye lazimishwa anayetaka anaweza kusoma asiye taka atachagua combinations zingine.

Naunga mkono Serikali kwa kuboresha mitaala hiii.
 
Hivi leo hii wabudha, wahindi na dini za makabila yetu wakija kulalamika wakataka kuwekwa kwenye mitala yetu. Serikali yetu watakataa kwa ground zipi? Huyu Mkwe na Mama yake ni vilaza ajabu. Na mark my words in 10 years kutakuwa na udini sana Nchi hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…