Inawezekana labda ni warabu ndio wamemshinikiza aweke dini kwenye elimu maana tangu warabu wa DP World waanze kushika nchi, naona mambo mengi yamekuwa na mwelekeo wa kiislamu na kiarabu. Ipo siku tutaamka tutakuta nchi nzima imesilimishwaKwa kuona mbali, kutaanza kuwa na ajira za kidini dini kutokana na masomo ya kidini.
Tunaanza kutaga mayai ya machafuko huko mbele ya safari.
Hili lipingwe kwa nguvu zote.
Sio kweli kuchukua mfano bachelor of theology vyuo vyetu vingi vinatoa hiyo degree muda mrefu tu shida wengi walikuwa wanashindwa kuingia chuo kikuu kuchukua hizo degree sababu A level kulikuwa hakuna somo la DivinityInawezekana labda ni warabu ndio wamemshinikiza aweke dini kwenye elimu maana tangu warabu wa DP World waanze kushika nchi, naona mambo mengi yamekuwa na mwelekeo wa kiislamu na kiarabu. Ipo siku tutaamka tutakuta nchi nzima imesilimishwa
Sio kweli kuchukua mfano bachelor of theology vyuo vyetu vingi vinatoa hiyo degree muda mrefu tu shida wengi walikuwa wanashindwa kuingia chuo kikuu kuchukua hizo degree sababu A level kulikuwa hakuna somo la Divinity
Vyuo vikuu vingi vya Kikristo vinahitaji aliyesoma Divinity A leve kujiunga navyo vya ndani na nje ya nchi
Ni somo hatukatai lakini si mna madrasa , si mna misikiti? Si waalimu wabobevu wapo huko? Wafundishieni huko na muwape vyeti mpaka vya P.H.D lakini msiyaingize kwenye mfumo rasmi wa kiserikaliPia mkumbushe kwamba Elimu ya Dini ya kiislamu (Islamic knowledge) ni soma na wala sio Ubaguzi..
VIvyo hivyo Elimu ya Dini ya Kikristo Huitwa (Divinity) ni somo sio ubaguzi..
Mbona sioni Wakristo wakilalamika kuhusu Hili Au ni kwamba Waislamu Wenyewe ni watoto special kuliko wengine??
Tuna jidanganya kweli kwa sababu zisizokua na msingiSwala linaloongelewa ni kuchanganya Serkali na Imani za kidini mkuu inapswa Vingine Uvielewe..
Hupaswi kukaza Shingo..
Serkali haipaswi Kuongeza nguvu katika Kueneza Dini kwa Njia yoyote ile Ni kinyume cha Katiba..
View attachment 2940739
Mkuu uko sawa kabisa na ndo nilichokuwa nakiongea since mwanzo kuwa serikali imekosea sanaNi somo hatukatai lakini si mna madrasa , si mna misikiti? Si waalimu wabobevu wapo huko? Wafundishieni huko na muwape vyeti mpaka vya P.H.D lakini msiyaingize kwenye mfumo rasmi wa kiserikali
Dini ni Mila . Nchi yetu Ina Mila nyingi wapagani nao watadai somo lao la kumpinga Mungu liingie kwenye mtaala. UTAKUWA na base gani ya kuwakatalia wakati wananchi wote ni sawa?
Wafuasi wa zumaridi nao watadai elimu juu ya mungu wao zumaridi iingie kwenye mtaala utawakatalia vipi wakati tayari umekubali baadhi ya dini kuingia kwenye mtaala?
Sasa hivi mlengo ni kuandaa kila mtu anapoona fursa .Mfano wawekezaji wa kichina hupenda sana kuajiri waliosoma China au wanaojua kichina sababu wawekezaji wengi watching nchini hawajui kiswahili wala kingereza wanajua kichina tuTatizo labda ni hizo lugha za nn? Mfano Arabs, itatusaidia nn? Kwann tusisome mining
Palestina na Israel ndo mataifa yaliyo na Dini sana..Tuna jidanganya kweli kwa sababu zisizokua na msingi
ndio maana wazungu wanatuletea mazinga umbwe ya kila aina wameshatuona hatujielewi km mmesha haribikiwa upande wenu wezenu wanajielewa ndio wanaweka misingi ya vizazi vyao viwe jamii yenye kuogopa muungu bila kua na jamii iso ogopa mungu unataifa lenye matahira watupu na majambazi kila jambo lina faida ndio mana taifa unaliona limefika hp tulipo kwa kua na viongoz wanoogopa mingu
Hilo neno la Mungu kwani lazima lisimamiwe na serikali?kwenye taasisi za kidini hao wanafunzi hawatoelewa hadi iwe serikalini?hao walimu wanaofundisha hayo masomo wanaolipwa na nan?.Bora waajiriwe walimu wa physics na chemistry kuliko walimu wa dini kazi hiyo ifanywe na Viongozi wa dini.We ndio haujui kitu. Kabla ya kupoteza, muda na kuandika magazeti yasiyo na faida ulizia kwanza kwa, walio karibu yako. Lakin unakurupuka kutoka shimoni kama panya, aliyeona nyoka.
U
Unajua usichanganye vitu na kuvifanya vya kisiasa ili muanze kuongea na kujadili uongo. Kwa kawaida, combination ni masomo matatu Ila masomo ya kukupeleka chuo Kikuyu ni mawali tu. Kwa hiyo mfano mtu anasoma Economic, Business studies na Islamic. Economic na, Business studies ndio zitampeleka chuo kikuu kwan university wanaesabu point nne za masomo mawili. Islamic knowledge itamsaidia kuwa na ufahamu wa neno la mungu na kuwa, na Imani na pia kuwa na uoga, na mwenyez mungu. Ili nchi iendelee tunahitaji wazalendo na wenye Imani na Mungu.
Tatizo hapa ni ukosefu wa exposureHilo neno la Mungu kwani lazima lisimamiwe na serikali?kwenye taasisi za kidini hao wanafunzi hawatoelewa hadi iwe serikalini?hao walimu wanaofundisha hayo masomo wanaolipwa na nan?.Bora waajiriwe walimu wa physics na chemistry kuliko walimu wa dini kazi hiyo ifanywe na Viongozi wa dini.
Tatizo hapa ni ukosefu wa exposure
Vyuo vyote vikubwa ulimwenguni huwa vina digrii za dini .
Sisi hapa p8a tunavyo vibatoa digrii za dini .sio kitu kipya level ya digrii sema tatizo A level hakukuwa na masomo ya dini kama combination. YALIKUWA yana8shia O level tu
O.level walimu wa hayo.madomo wapo iwe Bible knowledge au Islamic Studies wapi tayari na wana uwezo wa kufundisha hadi A level
kijana anaandaliwa kuwa padre au imam unamsomeshaje physics na chemistry si anapaswa kusoma islamic knowledge,Siyo siri, wengi tumeshtushwa na msimamo wa sera za elimu kuanza kukumbatia udini.
Waziri Mchengerwa katoa taarifa ya masomo yanayofadiliwa KISERIKALI, masomo au Combination(Tahsusi) ambazo nyingine ni za dini.
Katika hizo combination masomo ya Kiislamu na kuna Divinity vile vile.
Sera hizi zinataka na vikao vipi vya Chama CCM, Wadau wa Elimu, au wananchi kushirikishwa, mabadiliko katika elimu yametokana na nini na kwa ridhaa ya nani?
Swali la kujiuliza ni je wenye haki ya kusoma masomo ya biashara na dini ni waislamu pekee ?Sasa hivi mlengo ni kuandaa kila mtu anapoona fursa .Mfano wawekezaji wa kichina hupenda sana kuajiri waliosoma China au wanaojua kichina sababu wawekezaji wengi watching nchini hawajui kiswahili wala kingereza wanajua kichina tu
Pia tuna waarabu wengi wanawekeza nchini hawajui kiswahili wala kingereza wanajua kiarabu tu .Hivyo inakuwa nafasi nzuri kupata wasomi wenye digrii mfano za biashara au uchumi wanaojua kiarabu pia
Ni mkakati wa kupanua soko.la ajira
Al-Ma'idah aya ya 5
ٱلْيَوْمَ أُحِلَّ لَكُمُ ٱلطَّيِّبَٰتُ ۖ وَطَعَامُ ٱلَّذِينَ أُوتُوا۟ ٱلْكِتَٰبَ حِلٌّۭ لَّكُمْ وَطَعَامُكُمْ حِلٌّۭ لَّهُمْ ۖ وَٱلْمُحْصَنَٰتُ مِنَ ٱلْمُؤْمِنَٰتِ وَٱلْمُحْصَنَٰتُ مِنَ ٱلَّذِينَ أُوتُوا۟ ٱلْكِتَٰبَ مِن قَبْلِكُمْ إِذَآ ءَاتَيْتُمُوهُنَّ أُجُورَهُنَّ مُحْصِنِينَ غَيْرَ مُسَٰفِحِينَ وَلَا مُتَّخِذِىٓ أَخْدَانٍۢ ۗ وَمَن يَكْفُرْ بِٱلْإِيمَٰنِ فَقَدْ حَبِطَ عَمَلُهُۥ وَهُوَ فِى ٱلْءَاخِرَةِ مِنَ ٱلْخَٰسِرِينَ
Au kwa Kiswahili
View attachment 2940968
Katiba yetu inakataa kuchanganya dini na shughuli za kiserikali.Swali la kujiuliza ni je wenye haki ya kusoma masomo ya biashara na dini ni waislamu pekee ?
Kwa nini pia pasiwe na Economics,Business studies and Divinity ?
Nailed itSwala linaloongelewa ni kuchanganya Serkali na Imani za kidini mkuu inapswa Vingine Uvielewe..
Hupaswi kukaza Shingo..
Serkali haipaswi Kuongeza nguvu katika Kueneza Dini kwa Njia yoyote ile Ni kinyume cha Katiba..
View attachment 2940739
Siyo siri, wengi tumeshtushwa na msimamo wa sera za elimu kuanza kukumbatia udini.
Waziri Mchengerwa katoa taarifa ya masomo yanayofadiliwa KISERIKALI, masomo au Combination(Tahsusi) ambazo nyingine ni za dini.
Katika hizo combination masomo ya Kiislamu na kuna Divinity vile vile.
Sera hizi zinataka na vikao vipi vya Chama CCM, Wadau wa Elimu, au wananchi kushirikishwa, mabadiliko katika elimu yametokana na nini na kwa ridhaa ya nani?
Serkali haipaswi Kuongeza nguvu katika Kueneza Dini kwa Njia yoyote ile Ni kinyume cha Katiba..
View attachment 294.Wanataka kupata urahisi wa ku-control akili za watu ambayo saa zote watakuwa wanapambana kwenda mbinguni sio kuishi kwa kuifurahia Dunia na
Hivi leo hii wabudha, wahindi na dini za makabila yetu wakija kulalamika wakataka kuwekwa kwenye mitala yetu. Serikali yetu watakataa kwa ground zipi? Huyu Mkwe na Mama yake ni vilaza ajabu. Na mark my words in 10 years kutakuwa na udini sana Nchi hii.We ndio haujui kitu. Kabla ya kupoteza, muda na kuandika magazeti yasiyo na faida ulizia kwanza kwa, walio karibu yako. Lakin unakurupuka kutoka shimoni kama panya, aliyeona nyoka.
U
Unajua usichanganye vitu na kuvifanya vya kisiasa ili muanze kuongea na kujadili uongo. Kwa kawaida, combination ni masomo matatu Ila masomo ya kukupeleka chuo Kikuyu ni mawali tu. Kwa hiyo mfano mtu anasoma Economic, Business studies na Islamic.
Economic na, Business studies ndio zitampeleka chuo kikuu kwan university wanaesabu point nne za masomo mawili. Islamic knowledge itamsaidia kuwa na ufahamu wa neno la mungu na kuwa, na Imani na pia kuwa na uoga, na mwenyez mungu. Ili nchi iendelee tunahitaji wazalendo na wenye Imani na Mungu.
Issue za kibiti zitatudi sasa hivi. Hii Serikali ina akili kama ile awamu ya nne. Hawajifunzi.Siyo kweli, mayai ya MKIRU(Mkuranga, Kibiti, Rufiji) yalitagwa wakati wake.
Mwendazake ndiye aliyasafisha.
Watu tunasahau haraka.