Katibu Tarafa
JF-Expert Member
- Feb 16, 2007
- 989
- 51
Sawa. Ila kwa kweli inasikitisha.
Sasa tulenge 2010!!!!!!!!!!! Kila mtu aitumie kura yake vizuri 2010. Hapa dawa ni "regime change". Hakuna jingine.
2010,hakuna kitu ccm washinda kwa kishindo,dawa ni kuzomea tu lika wapitapo,kuanzia raisi mpaka mfagizi wake.