Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,571
Kwa mujibu wa tangazo la spika wa Bunge alilolitoa muda mchache uliopita ni kuwa Waziri mkuu atawasilisha taarifa yake siku ya alhamisi kuhusiana na utekelezaji wa maazimio 21 ya Bunge kuhusiana na Richmond.
Hivyo basi siku hiyo itakuwa ni siku ya kusikia hatua gani zimechukuliwa na nini kinaendelea.
Huenda tukaambiwa tena kuwa serikali inataka hadi April 2009 ili kuweza kutekeleza maazimio hayo ya Bunge.
Hiki kitakuwa ni kipimo kizuri kama kweli serikali inaheshimu muhimili wa Bunge ama laa ,kwani kama itashindwa kutekeleza maazimio ya Bunge ....
Hivyo basi siku hiyo itakuwa ni siku ya kusikia hatua gani zimechukuliwa na nini kinaendelea.
Huenda tukaambiwa tena kuwa serikali inataka hadi April 2009 ili kuweza kutekeleza maazimio hayo ya Bunge.
Hiki kitakuwa ni kipimo kizuri kama kweli serikali inaheshimu muhimili wa Bunge ama laa ,kwani kama itashindwa kutekeleza maazimio ya Bunge ....