Kishimbe wa Kishimbe
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 4,674
- 4,173
Serikali ya Tanzania haina dini, lakini, baada ya kufuatilia hili Sakata la Lambalamba, nimebaini kuwa Watanzania wana dini zao na wengi sana wanafuata dini zao za kimila!
Chonde chonde, ni hatari sana kukabili masuala ya imani za watu kinguvunguvu bila kuzama kukaa na waumini husika na kuwaelewa na kuwaelimisha polepole bila kuonyesha dharau!
Sisemi kuwa OCS wa Kabwe alikosea kukabiliana na operation ya kimila ya kupambana na wachawi, aka Lambalamba, ila ilitakiwa busara zaidi na upole katika kulitatua hilo tatizo!
Video hapa chini inaongea mengi kwa niaba yangu!
Chonde chonde, ni hatari sana kukabili masuala ya imani za watu kinguvunguvu bila kuzama kukaa na waumini husika na kuwaelewa na kuwaelimisha polepole bila kuonyesha dharau!
Sisemi kuwa OCS wa Kabwe alikosea kukabiliana na operation ya kimila ya kupambana na wachawi, aka Lambalamba, ila ilitakiwa busara zaidi na upole katika kulitatua hilo tatizo!
Video hapa chini inaongea mengi kwa niaba yangu!