Kidafani
Member
- May 30, 2011
- 28
- 9
Katibu mkuu wa ccm, Wilson Mkama, amesema serikali ilikosea kutowapeleka katika mazoezi ya vitendo wanafunzi wa vyuo vikuu, kwa kuwa hiyo ni haki yao ya msingi. Mkama aliwaomba radhi wanafunzi hao kwa upungufu huo na kutaka waipe Serikali mwaka mmoja ili ibadili mfumo unatumika sasa.
Source: Mwananchi Jumapili, June 19 2011
Source: Mwananchi Jumapili, June 19 2011