Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 14,831
- 26,544
Masoko ya Arusha ndio balaa sijui Samunge na Kilombero ni kipindu pindu kabisaa...
ingekuwa wewe ni mlipaji wa kodi usingeongea ujinga hapa,Yote na yote jamii pia inalo jukumu la kuimalisha usafi
Sio kila kitu selikali iwafanyie, Jamii sasa wao jukumu lao litakua lipi?
Mkuu tupo chini ya ccm na kodi tunalipa.Hali ya masoko kwa kweli ni mbaya sana, yaani unaweza kununua bidhaa ukaharibu viatu na ukapata magonjwa mazingira ya masoko yetu. Kila mfanya biashara analipa ushuru wa kuwepo sokoni, hata hivyo inashindwa kubainika hela zinatumikaje? Mbona masoko machafu hadi yanatia kinyaa, na mengine hutoa harufu mbaya kabisa.
Leo nimetembelea soko la Tegeta Nyuki aisee, sijui kama kipindupindu kimetuacha au kinatuvutia kasi tu. Maeneo machafu hata kutembea ni shida. Angalia kama hali ya wauzaji matunda hapa na hayo maji machafu ya pembeni.
Fikiria uchafu huo halafu bado tupo comfortable kununua bidhaa bila kujali afya zetu. Mimi nadhani ni wakati kwa wafanyabiashara kudai matumizi ya fedha za ushuru zinazolipwa kila siku.
Kwa sasa kasi ya magonjwa yasiyoambukiza pia iko juu, kwa uchafu huu magonjwa ya upumuaji yanakosekanaje maana kutakuwa na hewa nzito mfanyabiashara anaivuta kutwa nzima.
Hebu angalia kama hapo, mtu unapitaje, yaani unatoka sokoni kama umetoka shamba miguu imechafuka matope matupu.
Ni kweli tumeshindwa kutumia hela za ushuru kutengeneza mitaro vizuri ili mvua zisilete athari kwa kiasi hiki cha kuhatarisha afya za watu.
Tunasubiri kupindupindu?
Wanalamba asali kwanzaHatari na nusu aiseee halafu na mamlaka husika wametulia tu tuli kama hawaoni vile
Watu wanalamba asali weweMaeneo mengi yalipojengwa Masoko, ni Maeneo ya CCM... Usiniulize ushuru unaenda wapi...!
Kwa nn ukae sehem chafu?Kumbe hatuna haja yakulaumu sana milipuko ya magonjwa maana mazingira tushayatengeneza wenyewe milipuko inatuachaje kwa mfano
We unataka kiishe halafu watu walambe asali wap? Fanya usafi mwenyeweKwa hali hii, Kipindupindu hakitakaa kiishe Tanzania.
Tatizo ni wavivuWafanyabiashara wao wenyewe wakiamua wanaweza.
Uvivu utawauwa wajinga haoMtu mchafu… hasafishi alipo Halafu tunaita serikali
This is too much
Kuna anahitaji serikali imfundishe usafi?
Kupiga umbea na kujadili simba na yangaYote na yote jamii pia inalo jukumu la kuimalisha usafi
Sio kila kitu selikali iwafanyie, Jamii sasa wao jukumu lao litakua lipi?
Wanalamba asali kwan wewe hupendi kulamba asaliKwanini inawatoza kodi kama wanataka wafanye usafi wao? Hizo tozo wanazipeleka wapi? Kununua ma V8?
Kama inzi na kinyesiSisi na uchafu ni ndugu moja.
Acha kiwauwe tuuMasoko ya Arusha ndio balaa sijui Samunge na Kilombero ni kipindu pindu kabisaa...
Kwan wewe hupendi kulamba asaliwanachowaza ni kulipana posho tu!
Mkuu wa wilaya kashindwa kazi.Hali ya masoko kwa kweli ni mbaya sana, yaani unaweza kununua bidhaa ukaharibu viatu na ukapata magonjwa mazingira ya masoko yetu. Kila mfanya biashara analipa ushuru wa kuwepo sokoni, hata hivyo inashindwa kubainika hela zinatumikaje? Mbona masoko machafu hadi yanatia kinyaa, na mengine hutoa harufu mbaya kabisa.
Leo nimetembelea soko la Tegeta Nyuki aisee, sijui kama kipindupindu kimetuacha au kinatuvutia kasi tu. Maeneo machafu hata kutembea ni shida. Angalia kama hali ya wauzaji matunda hapa na hayo maji machafu ya pembeni.
Fikiria uchafu huo halafu bado tupo comfortable kununua bidhaa bila kujali afya zetu. Mimi nadhani ni wakati kwa wafanyabiashara kudai matumizi ya fedha za ushuru zinazolipwa kila siku.
Kwa sasa kasi ya magonjwa yasiyoambukiza pia iko juu, kwa uchafu huu magonjwa ya upumuaji yanakosekanaje maana kutakuwa na hewa nzito mfanyabiashara anaivuta kutwa nzima.
Hebu angalia kama hapo, mtu unapitaje, yaani unatoka sokoni kama umetoka shamba miguu imechafuka matope matupu.
Ni kweli tumeshindwa kutumia hela za ushuru kutengeneza mitaro vizuri ili mvua zisilete athari kwa kiasi hiki cha kuhatarisha afya za watu.
Tunasubiri kupindupindu?
Tulia wewe kwa wewe hupendi kulamba asaliingekuwa wewe ni mlipaji wa kodi usingeongea ujinga hapa,
hapo watu wanalipa ushuru kuna hela ya taka inatolewa kila mwezi ila tatizo ni viongozi wetu wengi wanawaza upigaji tu!