Serikali ikikosea kesi ya Mbowe, naamini Ujerumani watafunga ubalozi

Duh...!, Mkuu Kamundu, yaani Tanzania iachane na utaratibu wa kuruhusu sheria kufuata mkondo wake kwasababu tunaigopa Mjerumani atafunga ubalozi wake nchini?!. Mwenzetu umejuaje haya au kumbe na wewe mwenzetu uko ubalozini Ujerumani ?.
Kesi ya Mbowe si naendelea kusikilizwa, kwanini kuingilia uhuru wa mahakama yetu kwa kututishia nyau kuwa watafungasha virago vyao watimke?. Hivi hao wanabalozi wa Ujerumani, hicho ndicho kilichowaleta nchini ?!.

Acheni kuwasingizia wana Balozi mambo ya ajabu. Acheni mahakama itimize wajibu wake bila kuingiliwa au kupewa mashinikizo.
P
Hakuna mtu ameingilia Uhuru wa Mahakama lakini Kwa tunaofwatilia hii case unajiuliza kwanini Askari wetu hawakuchukua taadhari zote?!!.. Kwanini serikali ina wanasheria namna hii hata mtu ambae sio mwanasheria anaweza kuwa challenge!!..Unajiuliza mbona mambo yenye na kuhusisha Ugaidi ni kama mbingu na Nchi?!!
 
Duh...!, Mkuu Kamundu, yaani Tanzania iachane na utaratibu wa kuruhusu sheria kufuata mkondo wake kwasababu tunaigopa Mjerumani atafunga ubalozi wake nchini?!. Mwenzetu umejuaje haya au kumbe na wewe mwenzetu uko ubalozini Ujerumani ?.
Kesi ya Mbowe si naendelea kusikilizwa, kwanini kuingilia uhuru wa mahakama yetu kwa kututishia nyau kuwa watafungasha virago vyao watimke?. Hivi hao wanabalozi wa Ujerumani, hicho ndicho kilichowaleta nchini ?!.

Acheni kuwasingizia wana Balozi mambo ya ajabu. Acheni mahakama itimize wajibu wake bila kuingiliwa au kupewa mashinikizo.
P
hivi wewe gaidi anaweza pewa laki sita?
 
Duh...!, Mkuu Kamundu, yaani Tanzania iachane na utaratibu wa kuruhusu sheria kufuata mkondo wake kwasababu tunaigopa Mjerumani atafunga ubalozi wake nchini?!. Mwenzetu umejuaje haya au kumbe na wewe mwenzetu uko ubalozini Ujerumani ?.
Kesi ya Mbowe si naendelea kusikilizwa, kwanini kuingilia uhuru wa mahakama yetu kwa kututishia nyau kuwa watafungasha virago vyao watimke?. Hivi hao wanabalozi wa Ujerumani, hicho ndicho kilichowaleta nchini ?!.

Acheni kuwasingizia wana Balozi mambo ya ajabu. Acheni mahakama itimize wajibu wake bila kuingiliwa au kupewa mashinikizo.
P
P swali ni kuwa tumefikaje huko mahakamani?Swala la utaratibu wa utoaji haki kupewa nafasi ni jambo lingine.
 
Kama tulivyosema kuna watu wanajaribu kumwaribia Raisbkwa kuweka hizi kesi za kijinga. Ubalozi wa German ndiyo Lissu alikimbilia baada ya kutaka kutekwa baada ya uchaguzi na walimpeleka mpaka Airport. Kwasasa watu kwenye kesi ya Mbowe na wanapima kuona kama Tanzania inabadilika au iko vilevile kwenye haki za binadamu na demokrasia.

Lakini Rais hajui kwamba wabaya wake wanataka hizi Balozi ziondoke ili kumpunguzia nguvu lakini wanamdanganya kwamba kuwabana wapinzani ni kuwasaidia CCM na hii haina ushahidi wowote. Serikali isikoweka viongozi wazalendo ambao hanawa njama itaingizwa kwenye matatizo. Leo hii Rais badala ya kushangiliwa New York sifa zimeenda kwa Rais wa Zambia kwasababu tu ya hii kesi.

Serikali kuweni makini nawapa ukweli huu.
Tatizo yule mswahili anapenda sifa balaa
 
Duh...!, Mkuu Kamundu, yaani Tanzania iachane na utaratibu wa kuruhusu sheria kufuata mkondo wake kwasababu tunaigopa Mjerumani atafunga ubalozi wake nchini?!. Mwenzetu umejuaje haya au kumbe na wewe mwenzetu uko ubalozini Ujerumani ?.
Kesi ya Mbowe si naendelea kusikilizwa, kwanini kuingilia uhuru wa mahakama yetu kwa kututishia nyau kuwa watafungasha virago vyao watimke?. Hivi hao wanabalozi wa Ujerumani, hicho ndicho kilichowaleta nchini ?!.

Acheni kuwasingizia wana Balozi mambo ya ajabu. Acheni mahakama itimize wajibu wake bila kuingiliwa au kupewa mashinikizo.
P
Na wewe ndiyo maana umepoteza mvuto, mwanzo ulikuwa unaandika fact tupu sahivi ni ugoro tupu.
 
Duh...!, Mkuu Kamundu, yaani Tanzania iachane na utaratibu wa kuruhusu sheria kufuata mkondo wake kwasababu tunaigopa Mjerumani atafunga ubalozi wake nchini?!. Mwenzetu umejuaje haya au kumbe na wewe mwenzetu uko ubalozini Ujerumani ?.
Kesi ya Mbowe si naendelea kusikilizwa, kwanini kuingilia uhuru wa mahakama yetu kwa kututishia nyau kuwa watafungasha virago vyao watimke?. Hivi hao wanabalozi wa Ujerumani, hicho ndicho kilichowaleta nchini ?!.

Acheni kuwasingizia wana Balozi mambo ya ajabu. Acheni mahakama itimize wajibu wake bila kuingiliwa au kupewa mashinikizo.
P
Mayala, hakuna kesi pale ni ujinga, visasi na roho mbaya zetu tu, na mambo kama haya ndio yanayoingiza mataifa mengi kwenye machafuko, inshot tunamulikwa sana tu, na usione ujanja balozi kuanza kutukimbia tushaanza kuona mfano.

Katiba mpya inaitajika na ndio itakayo tuokoa na watu wenye maslai binafsi na si ya Taifa.
 
Back
Top Bottom