Serikali ikikosea kesi ya Mbowe, naamini Ujerumani watafunga ubalozi

Wewe ni kwa vile unakuwaga na chuki binafsi na MMbowe
Duh...!, Mkuu Kamundu, yaani Tanzania iachane na utaratibu wa kuruhusu sheria kufuata mkondo wake kwasababu tunaigopa Mjerumani atafunga ubalozi wake nchini?!. Mwenzetu umejuaje haya au kumbe na wewe mwenzetu uko ubalozini Ujerumani ?.
Kesi ya Mbowe si naendelea kusikilizwa, kwanini kuingilia uhuru wa mahakama yetu kwa kututishia nyau kuwa watafungasha virago vyao watimke?. Hivi hao wanabalozi wa Ujerumani, hicho ndicho kilichowaleta nchini ?!.

Acheni kuwasingizia wana Balozi mambo ya ajabu. Acheni mahakama itimize wajibu wake bila kuingiliwa au kupewa mashinikizo.
P
 
Mkuu Paskali, kwa andiko lolote lile unaloliandika hapa jukwaani, huwa nafarijika mno pale unapokuwa "objective" zaidi ya kuwa "subjective" pale unapojenga hoja zako. Katika watu ambao kila wakichangia humu jukwaani, wewe ni mmojawapo katika ya watu wachache wenye kuvutia "attention" ya hadhira kwa kiwango cha juu sana.

Naomba sana usimamie ukweli mchungu unaoutambua kuwa ni kweli tupu, zaidi ya kuwa na ushabiki wenye kujitoa ufahamu hata ukiwa na dalili zote za kutothamini haki ama uelekeo wenye kudhihirisha dhuluma juu haki za msingi za binadamu. Wewe unapothubutu kuonyesha hisia za kushabikia ama kuwa upande wa udhalimu na wadhalimu, hii ni sifa ambayo inaondoa ama kushusha "credibility" kubwa uliyokuwa nayo.
Mkuu mbenge, maneno makubwa, makali, mazito, nimeyapokea na nayatafakari na kuyafanyia kazi. Anayakuonya na kukushauri ni anakupenda na kukutakia mema. Asante kwa ushauri.
P
 
Duh...!, Mkuu Kamundu, yaani Tanzania iachane na utaratibu wa kuruhusu sheria kufuata mkondo wake kwasababu tunaigopa Mjerumani atafunga ubalozi wake nchini?!. Mwenzetu umejuaje haya au kumbe na wewe mwenzetu uko ubalozini Ujerumani ?.
Kesi ya Mbowe si naendelea kusikilizwa, kwanini kuingilia uhuru wa mahakama yetu kwa kututishia nyau kuwa watafungasha virago vyao watimke?. Hivi hao wanabalozi wa Ujerumani, hicho ndicho kilichowaleta nchini ?!.

Acheni kuwasingizia wana Balozi mambo ya ajabu. Acheni mahakama itimize wajibu wake bila kuingiliwa au kupewa mashinikizo.
P
Mayala manake ni njaa..mwendakuzima alimaliza kuhusu wewe...sasahivi unapuyanga bila hoja.

Kwahiyo unataka balozi zisihoji kuhusu haki za binadamu na demokrasia ila bado vyoo na shule mnawaomba kila siku..imewashinda nini kuwafukuza.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mkuu mbenge, maneno makubwa, makali, mazito, nimeyapokea na nayatafakari na kuyafanyia kazi. Anayakuonya na kukushauri ni anakupenda na kukutakia mema. Asante kwa ushauri.
P
Mkuu Paskali nakushukuru kwa kujali na hata kukubali kushaurika, pasipo kujali mantiki za kiushauri na za kihoja zitokazo kwa "followers" wako.
 
Kama tulivyosema kuna watu wanajaribu kumwaribia Raisi kwa kuweka hizi kesi za kijinga. Ubalozi wa German ndiyo Lissu alikimbilia baada ya kutaka kutekwa baada ya uchaguzi na walimpeleka mpaka Airport. Kwasasa watu kwenye kesi ya Mbowe na wanapima kuona kama Tanzania inabadilika au iko vilevile kwenye haki za binadamu na demokrasia.

Lakini Raisi ajui kwamba wabaya wake wanataka hizi balozi ziondoke ili kumpunguzia nguvu lakini wanamdanganya kwamba kuwabana wapinzani ni kuwasaidia CCM na hii haina ushahidi wowote. Serikali isikoweka viongozi wazalendo ambao hanawa njama itaingizwa kwenye matatizo. Leo hii Raisi badala ya kushangiliwa New York sifa zimeenda kwa raisi wa Zambia! kwasababu tu ya hii kesi. Serikali kuweni makini nawapa ukweli huu.
Ndugu Kamundu

Hivi kule Rwanda na Guinea, hao Ujerumani wameshsfunga ubalozi, what is so special about TZ?
 
Ndugu Kamundu

Hivi kule Rwanda na Guinea, hao Ujerumani wameshsfunga ubalozi, what is so special about TZ?
Sijui hata kama wana balozi kule na kila nchi wana sababu zao za kuwa na balozi. Kuna nchi wana balozi ili wasaidie wakimbizi lakini sehemu nyingine wanaweza kuwa na balozi wakijua nchi itakuwaje miaka 10 au 20 ijayo. Tanzania ni nchi tofauti kwa ukubwa idadi na hata kwenye mambo ya mazingira. Lakini kikubwa ni kwamba wanajua Watanzania wenyewe wanapenda uhuru, haki na demokrasia. I awezekana Rwanda usafi kwao unatosha!
 
Roho inaniuma sana nikifikiria nakatwa tozo kuwalipa mishahara kila mwezi hawa state attorney..
 
Kama tulivyosema kuna watu wanajaribu kumwaribia Raisi kwa kuweka hizi kesi za kijinga. Ubalozi wa German ndiyo Lissu alikimbilia baada ya kutaka kutekwa baada ya uchaguzi na walimpeleka mpaka Airport. Kwasasa watu kwenye kesi ya Mbowe na wanapima kuona kama Tanzania inabadilika au iko vilevile kwenye haki za binadamu na demokrasia.

Lakini Raisi ajui kwamba wabaya wake wanataka hizi balozi ziondoke ili kumpunguzia nguvu lakini wanamdanganya kwamba kuwabana wapinzani ni kuwasaidia CCM na hii haina ushahidi wowote. Serikali isikoweka viongozi wazalendo ambao hanawa njama itaingizwa kwenye matatizo. Leo hii Raisi badala ya kushangiliwa New York sifa zimeenda kwa raisi wa Zambia! kwasababu tu ya hii kesi. Serikali kuweni makini nawapa ukweli huu.

Kukosea maana yake nini na ni by who’s standard?
 
Lini mahakama za Tanzania tangu enzi ya Mwendazake ilikuwa huru?
Sihitaji kukumbusha Jaji wa Kimkakati aliyekataliwa na Mbowe vituko vyake (rejea:Sauti Kubwa kwa in depth analysis ya uteuzi na hukumu zake)
Kangaroo courts haziwezi kutoa hukumu ya haki popote duniani
Bila shaka hukumu itatendeka kwa haki, kwa mwenendo wa kesi ulivyo inatia moyo. Binafsi nimependa jinsi jaji alivyotengeneza mazingira rafiki kwa mawakili wa pande zote.
 
Duh...!, Mkuu Kamundu, yaani Tanzania iachane na utaratibu wa kuruhusu sheria kufuata mkondo wake kwasababu tunaigopa Mjerumani atafunga ubalozi wake nchini?!. Mwenzetu umejuaje haya au kumbe na wewe mwenzetu uko ubalozini Ujerumani ?.
Kesi ya Mbowe si naendelea kusikilizwa, kwanini kuingilia uhuru wa mahakama yetu kwa kututishia nyau kuwa watafungasha virago vyao watimke?. Hivi hao wanabalozi wa Ujerumani, hicho ndicho kilichowaleta nchini ?!.

Acheni kuwasingizia wana Balozi mambo ya ajabu. Acheni mahakama itimize wajibu wake bila kuingiliwa au kupewa mashinikizo.
P

Nani mwenzako?
 
Duh...!, Mkuu Kamundu, yaani Tanzania iachane na utaratibu wa kuruhusu sheria kufuata mkondo wake kwasababu tunaigopa Mjerumani atafunga ubalozi wake nchini?!. Mwenzetu umejuaje haya au kumbe na wewe mwenzetu uko ubalozini Ujerumani ?.
Kesi ya Mbowe si naendelea kusikilizwa, kwanini kuingilia uhuru wa mahakama yetu kwa kututishia nyau kuwa watafungasha virago vyao watimke?. Hivi hao wanabalozi wa Ujerumani, hicho ndicho kilichowaleta nchini ?!.

Acheni kuwasingizia wana Balozi mambo ya ajabu. Acheni mahakama itimize wajibu wake bila kuingiliwa au kupewa mashinikizo.
P
Paschal Mayalla, sheria kufuata mkondo wake haina maana ya kuwakamata watu, kuwatesa na kuwabambikia kesi. Na hata kama mahakama itawaachia huru bado CCM na polisi watakuwa wameshinda kwa sababu azma ya kuwatesa, kuwapotezea muda, kuwadhalilisha, kuudanganya umma kupitia vyombo vya habari kuwa ni magaidi imetimia.
Lakini pia ukumbuke Sugu alifungwa kwa kuonewa, Mdude mahakama ilithibitisha alibambikiwa kesi
Lakini pia ukumbuke Lema aliwekwa mahabusu kwa mamia ya siku na mahakama ya juu ikathibitsha kuwa alionewa,
Lakini pia ukumbuke Mbowe na wenzake walifungwa miezi mitano kwa kuonewa na baadae mahakama za juu ilithibitisha hivyo.
Wewe hayakugusi kwa sababu ni CCM. Naishauri CCM haijalishi mwaka jana walipataje ushindi ijikite katika maendeleo. Gharama serikali inayotumia kwenye kesi hii ipelekwe kwenye maendeleo na tozo ipunguzwe.
 
Duh...!, Mkuu Kamundu, yaani Tanzania iachane na utaratibu wa kuruhusu sheria kufuata mkondo wake kwasababu tunaigopa Mjerumani atafunga ubalozi wake nchini?!. Mwenzetu umejuaje haya au kumbe na wewe mwenzetu uko ubalozini Ujerumani ?.
Kesi ya Mbowe si naendelea kusikilizwa, kwanini kuingilia uhuru wa mahakama yetu kwa kututishia nyau kuwa watafungasha virago vyao watimke?. Hivi hao wanabalozi wa Ujerumani, hicho ndicho kilichowaleta nchini ?!.

Acheni kuwasingizia wana Balozi mambo ya ajabu. Acheni mahakama itimize wajibu wake bila kuingiliwa au kupewa mashinikizo.
P
Aliyeingilia uhuru wa mahakama ni Samia akihojiwa na BBC, tena akafika mbali zaidi na kusema uongo kuwa kwenye kesi hii wengine wameshahukumiwa.

Kwa hiyo kinara wa kuingilia uhuru wa mahakama ni Samia.
 
Kama tulivyosema kuna watu wanajaribu kumwaribia Raisi kwa kuweka hizi kesi za kijinga. Ubalozi wa German ndiyo Lissu alikimbilia baada ya kutaka kutekwa baada ya uchaguzi na walimpeleka mpaka Airport. Kwasasa watu kwenye kesi ya Mbowe na wanapima kuona kama Tanzania inabadilika au iko vilevile kwenye haki za binadamu na demokrasia.

Lakini Raisi ajui kwamba wabaya wake wanataka hizi balozi ziondoke ili kumpunguzia nguvu lakini wanamdanganya kwamba kuwabana wapinzani ni kuwasaidia CCM na hii haina ushahidi wowote. Serikali isikoweka viongozi wazalendo ambao hanawa njama itaingizwa kwenye matatizo. Leo hii Raisi badala ya kushangiliwa New York sifa zimeenda kwa raisi wa Zambia! kwasababu tu ya hii kesi. Serikali kuweni makini nawapa ukweli huu.
Kesi mwisho inafutwa subiri uone movie ya jet LI na kingwendu
 
Wewe ni kwa vile unakuwaga na chuki binafsi na MMbowe
Hizi nazo ni chuki binafsi?.
P
 
Pamoja na Yote Polisi wetu ni hatari sana mimi binafsi siwaamini tenaaaa.

Wakakusanyika pamoja na wazee, wakafanya shauri, wakawapa askari fedha nyingi,

wakisema, Semeni, ya kwamba wanafunzi wake walikuja usiku, wakamwiba, sisi tulipokuwa tumelala.

Basi wakazitwaa zile fedha, wakafanya kama walivyofundishwa. Na neno hilo likaenea kati ya Wayahudi hata leo.
(Mathayo 28 12,13,15) Hii laana inawatesa sana askari wetu.
 
Kama tulivyosema kuna watu wanajaribu kumwaribia Raisi kwa kuweka hizi kesi za kijinga. Ubalozi wa German ndiyo Lissu alikimbilia baada ya kutaka kutekwa baada ya uchaguzi na walimpeleka mpaka Airport. Kwasasa watu kwenye kesi ya Mbowe na wanapima kuona kama Tanzania inabadilika au iko vilevile kwenye haki za binadamu na demokrasia.

Lakini Raisi ajui kwamba wabaya wake wanataka hizi balozi ziondoke ili kumpunguzia nguvu lakini wanamdanganya kwamba kuwabana wapinzani ni kuwasaidia CCM na hii haina ushahidi wowote. Serikali isikoweka viongozi wazalendo ambao hanawa njama itaingizwa kwenye matatizo. Leo hii Raisi badala ya kushangiliwa New York sifa zimeenda kwa raisi wa Zambia! kwasababu tu ya hii kesi. Serikali kuweni makini nawapa ukweli huu.
Huu mchango wako ni zaidi ya umaamuma wa ngazi ya PHD, yaani Ujerumani ya Adolf Hitler iliyosimamia mauaji ya wayahudi kwa maelfu, Ujerumani yenye historia mbovu dunia nzima, iliyotumika kupitia conference ya Berlin kutugawa bara zima, till this day they are doing the same thing using multiparty system ikizingatiwa kuwa historia hujirudia, references zipo kwenye I & II world wars, ndio watupangie miundo ya upatikanaji wa haki zetu mpaka leo! Na sisi tuwe comfortable kabisa, sio! Unawazimu mzee.
 
Duh...!, Mkuu Kamundu, yaani Tanzania iachane na utaratibu wa kuruhusu sheria kufuata mkondo wake kwasababu tunaigopa Mjerumani atafunga ubalozi wake nchini?!. Mwenzetu umejuaje haya au kumbe na wewe mwenzetu uko ubalozini Ujerumani ?.
Kesi ya Mbowe si naendelea kusikilizwa, kwanini kuingilia uhuru wa mahakama yetu kwa kututishia nyau kuwa watafungasha virago vyao watimke?. Hivi hao wanabalozi wa Ujerumani, hicho ndicho kilichowaleta nchini ?!.

Acheni kuwasingizia wana Balozi mambo ya ajabu. Acheni mahakama itimize wajibu wake bila kuingiliwa au kupewa mashinikizo.
P
Mkuu kama unakumbuka Marehemu aliwahi kukwambia Public mbele ya wanahabari wenzako kua jina lako kwa lugha ya kwao Mana yake ni njaa. Akimananisha upunguze njaa.
 
Back
Top Bottom