Yani watu wameamua kukaza vichwa na kutaka tuamini story za uongoWatu hawataki kukubali ukweli wa jinsi hii...kwenye list ya wale wanafunzi hakuna wa kigogo hata mmoja, wanataka at least St francis nao watetereke ili wapate pa kuegemea
Hoja yako ya msingi lakini unasahau kwamba mchujo wa Tabora boys na Iliboru ni wa mara moja yaani darasa la saba tu.Huko kwingine ni mchujo endelevu.Tabora boys na ilboru ni shule za vipaji yaani cream tupu, je wanafana na hao st francis matokeo yao?
Sent using Jamii Forums mobile app
Upuuzi kivipi wakati kila mtu anafanya sehemu yake...angalia racing zilivyo, mshindi hupatikana kwa kushinda racing na siyo kushiriki racing! Haijalishi we ni mnene au mwembamba, kama we ni mshindi unapewa ushindi wako, vivyo hivyo kwa aspects zingine!Kama ni hivyo basi upuuzi kulinganisha matokea ya pande hizi mbili
Sent using Jamii Forums mobile app
Lazima na Muhimu tuwawekee mbadala wale wenye vichwa "nunda" kama mimi in case wameonekana kufeli sio bora liende
Sent using Jamii Forums mobile app
Suala la mtoto kutojua kusoma na kuandika mzazi hakwepi lawama iweje mwanao aanze darasa la 1 hadi afike labda darasa la 3 haujawahi kumkagua au kumpa mazoezi ya kuandika ukiwa nae?Sasa hapo ndo tunapo kosea mkuu, elimu ni haki ya kila mtu ila mtu akifeli tusimlazimishe.. shule za serikali zina dhalilika sana mara nyingi tu wakaguzi wanaleta ripoti kuwa wanafunzi wa kidato cha pili asilimia kadhaa hawajui kusoma na kuandika kwa ajili ya hizi huruma za kusema ataenda wap ataenda wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Tabora boys na ilboru ni shule za vipaji yaani cream tupu, je wanafana na hao st francis matokeo yao?
Wazazi wengi hawapeleki watoto wao katika shule hizo siku hizi, zamani tulisoma na watoto wa mawaziri, wabunge, wakurugenzi nk, Leo hii nenda katika hizo shule uone kama kuna kiongozi anamtoto wake huko hata kama akichaguliwa kwenda atampeleka shule nzuri ya kulipia
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mkuu unachotaka useme kwamba st francis wawe na uwezo wa kumuwekea mtu karama ambayo Mungu hajampa?Hoja yako ya msingi lakini unasahau kwamba mchujo wa Tabora boys na Iliboru ni wa mara moja yaani darasa la saba tu.Huko kwingine ni mchujo endelevu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni Hoja kabisa!Suala la mtoto kutojua kusoma na kuandika mzazi hakwepi lawama iweje mwanao aanze darasa la 1 hadi afike labda darasa la 3 haujawahi kumkagua au kumpa mazoezi ya kuandika ukiwa nae?
Kumbe hapo hata wazazi wa watoto ambao wapi st francis nao wana mchango kwenye ufaulu wa watoto wao,?Suala la mtoto kutojua kusoma na kuandika mzazi hakwepi lawama iweje mwanao aanze darasa la 1 hadi afike labda darasa la 3 haujawahi kumkagua au kumpa mazoezi ya kuandika ukiwa nae?
Upo huo mchango!Kumbe hapo hata wazazi wa watoto ambao wapi st francis nao wana mchango kwenye ufaulu wa watoto wao,?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mazingira ya ile shule ukifika na wewe utatamani binti yako akasome pale, jiulize je mwanao anauwezo wa kushindana na wenziye? Wazazi wengi wanatamani watoto wao wakasome shule kama ile lakini wanakosea kutowasimamia vizuri wakiwa shule ya msingi, wanategemea walimu ndio wawe wasimamizi wa watoto waoKumbe hapo hata wazazi wa watoto ambao wapi st francis nao wana mchango kwenye ufaulu wa watoto wao,?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni Hoja kabisa!
Mzazi hana muda wa kukagua maendeleo ya kitaaluma ya mtoto wake...
Mzazi muda wote yuko bize na mipango ya kuzaliana na kutafuta pesa, ila swala elimu hataki kutilia mkazo, anaachia walimu tu...
Inapofikia mtoto anazidisha Ukilaza, anatupia lawama walimu na serikali kumbe yeye kama yeye angetakiwa afanye sehemu yake!
Naam mkuuUpo huo mchango!
Sasa hawa wazazi wa kata kutwa ulabu tuu, atawaza saa ngapi maendeleo ya kitaaluma ya mtoto kama kichwani ni Balimi tu muda wote inaamua mambo!
Yani kwa mikakati kama ile hata mimi au wewe tukianzisha shule ndani ya miaka mitano ikisimamiwa vizuri basi lazima tutaambiwa tunafundisha watoto wa vigogoMazingira ya ile shule ukifika na wewe utatamani binti yako akasome pale, jiulize je mwanao anauwezo wa kushindana na wenziye? Wazazi wengi wanatamani watoto wao wakasome shule kama ile lakini wanakosea kutowasimamia vizuri wakiwa shule ya msingi, wanategemea walimu ndio wawe wasimamizi wa watoto wao
Yani kwa mikakati kama ile hata mimi au wewe tukianzisha shule ndani ya miaka mitano ikisimamiwa vizuri basi lazima tutaambiwa tunafundisha watoto wa vigogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujinga unapata A 10 unakuja kuwa muhasibu wa halmashauri mshahara laki 5,si bora wanaopata zero wamejiajiri kwenye uuzaji wa electronics kariakoo na magomeni
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna cha kujifunza watoto walioingia form 1 mwaka st Francis wapelekwe kata na waliopo kata waende st Francis tuje tuone matokeo.. Kinachowabeba st Francis wanachukua cream
Nilipata zero ila muhesabu mauzo wa ofisi yetu alipata one ya 9,kuna shida kwani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Swadakta mkuuWe nae em tumia akili..shule za private ziko kwaajili ya kibiashara pia, mchujo kuwepo kwenye shule zao ni sehemu ya mkakati wa biashara yao ya kutoa elimu kwa umma, hakuna anayefanya biashara hlf hana mkakati wa kupata faida!
Huu uozo wa kata hauleti pato serikalin hivyo wana carefree kwenye ishu za elimu, swala la msingi kwenye kata ni takwimu za wanaojiandikisha shule ziongezeke ili zipatikane hoja za kusimamia wakati wa uchaguzi!
Sio guarantee ukipata division one utafaulu ngazi za juu,inahitajika juhudi,kujitoa na uwezaji mkubwa sasa wewe jidanganye kwamba private schools kwasababu zinachagua vichwa basi zinalala tu.Unapigana na ukuta.Geuza hoja yako iwe hivi; hizo private schools zisichuje ziwe zinasomba vichwa vyovyote tu halafu wapate Div 1 darasa zima tuone!
Sent using Jamii Forums mobile app