PAPAA JIWE
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 863
- 134
Wanandugu,
kutokana na suala hili la uhaba wa ajira, makampuni na mashirika mbalimbali yamekuja na namna mpya ya kuwanyonya zaidi watanzania.
Siku hizi nafasi zinazotangazwa ni volunteer, internship na hizo za kulipwa kwa commissio. Kwa mtazamo wangu serikali inapaswa kuliangalia hili kwa sababu sasa hivi waajiri wamezidisha unyonyaji sana wa watanzania.
Serikali itafute mbinu ambayo itamnufaisha kila mmoja na sio waajiri kupiga mkwanja kwa kutumia internships, malipo kwa commissin na volunteerism.
kutokana na suala hili la uhaba wa ajira, makampuni na mashirika mbalimbali yamekuja na namna mpya ya kuwanyonya zaidi watanzania.
Siku hizi nafasi zinazotangazwa ni volunteer, internship na hizo za kulipwa kwa commissio. Kwa mtazamo wangu serikali inapaswa kuliangalia hili kwa sababu sasa hivi waajiri wamezidisha unyonyaji sana wa watanzania.
Serikali itafute mbinu ambayo itamnufaisha kila mmoja na sio waajiri kupiga mkwanja kwa kutumia internships, malipo kwa commissin na volunteerism.