lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,229
- 33,914
Kutubu kazi ndugu,badala ya kutubu unaongeza dhambi.Labda kama hata shetani mwenyewe anaweza kutubu akasamehewa...
Unapotubu kama uliua,unatakiwa umtaje yule uliemuua ,Kama Ni mmoja wawili au zaidi.ukificha hapo umesema uongo,na hivyo unakua umetenda dhambi zaidi.
Je huyo mtubuji anaweza kumwambia mtubishaji kuwa aliua wangapi?
Halafu fikiria unatubu mbele ya Askofu.