wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,131
Hali ya bei za bidhaa inadhidi kuwa tete.
Bei ya petrol, dizel imeongezeka kwa kiasi kikubwa. Zaidi ya sh 40 kwa lita.
Bei ya mafuta ya kula lita 5 kwa 50,000.
Yaa 10,000 kwa lita.
Kama inawezekana hata jeshi la polisi litumike kama ambavyo imewezekana sehemu tofauti.
Nakumbuka msako wa sukari, cement.
Natarajia hata ripot za benki kuu zitaonesha mfumuko huu wa bei.
Bei ya petrol, dizel imeongezeka kwa kiasi kikubwa. Zaidi ya sh 40 kwa lita.
Bei ya mafuta ya kula lita 5 kwa 50,000.
Yaa 10,000 kwa lita.
Kama inawezekana hata jeshi la polisi litumike kama ambavyo imewezekana sehemu tofauti.
Nakumbuka msako wa sukari, cement.
Natarajia hata ripot za benki kuu zitaonesha mfumuko huu wa bei.