Serikali ianzishe somo la ujasiriamali shuleni

Yohimbine

JF-Expert Member
Jan 6, 2019
844
1,754
Habari za uzima wapendwa poleni na majukumu ya wiki nzima.

Turudi kwenye mada yetu, hivi sasa ukiangalia kumekuwa na wimbi kubwa sana la wahitimu wanaomaliza masomo yao ya elimu ya juu lakini ufinyu wa ajira umekuwa mkubwa sana na kusababisha watu wengi kuwapo mtaani bila ya kuwa na shughuli maalumu ya kufanya lakini siku za karibuni kumeibuka wimbi kubwa la wanasiasa wanaowaambia vijana wajiajiri angali wao wenyewe walisomeshwa na wameajiriwa na wananchi lakini kazi yao kubwa ni kupigana vijembe na kuongea mambo dhaifu yasiyo hata na mustakabali kuhusu maisha ya wananchi wanaowaongoza.

Nini kifanyike?
Serikali iangalie uwezekano wa kukaa na wadau wa elimu waanzishe somo la ujasiriamali liwe linafundishwa mashuleni tena liwe somo la lazima kwa mfano unapoanza kidato cha tano au hata kidato cha tatu mpaka mwaka wako wa mwisho wa chuo kikuu na pia katika vyuo vya ufundi uwe unalisoma hili somo hii itasaidia sana kupunguza kwa kiasi chake tatizo hili la ajira.

NAWASILISHA
 
Kweli tunapata shida vijana unajiajiri unakaa kidogo mchongo umeyumba kumbe kuna vimbinu kadhaa uvifahamu unakata tamaa
Kujifunza Ujasiriamali darasani ni Kama kufundishwa kuogolea kwa maneno tu,ukiingia kwny swimming pool au mtoni utakunywa vibaba mpk ushangae.

Point yangu ni Kwamba Ujasiriamali unataka ku-practice na sio theories,na ndio maana hata huko mavyuoni wahadhiri wamekalia kufundisha hizo kozi za entrepreneurship lkn wao hata duka la mangi hawana.
 
Ujasiriamali haulipi zifutwe taaluma zote libakie somo la siasa tu wote tuwe Wabunge tuitafune nchi kama kina Kange Lugola!
 
Upo sahihi
Kujifunza Ujasiriamali darasani ni Kama kufundishwa kuogolea kwa maneno tu,ukiingia kwny swimming pool au mtoni utakunywa vibaba mpk ushangae.

Point yangu ni Kwamba Ujasiriamali unataka ku-practice na sio theories,na ndio maana hata huko mavyuoni wahadhiri wamekalia kufundisha hizo kozi za entrepreneurship lkn wao hata duka la mangi hawana.
 
Kujifunza Ujasiriamali darasani ni Kama kufundishwa kuogolea kwa maneno tu,ukiingia kwny swimming pool au mtoni utakunywa vibaba mpk ushangae.

Point yangu ni Kwamba Ujasiriamali unataka ku-practice na sio theories,na ndio maana hata huko mavyuoni wahadhiri wamekalia kufundisha hizo kozi za entrepreneurship lkn wao hata duka la mangi hawana.
Tunaweza kutafuta namna bora ya ufundishwaji wa somo hili
 
Habari za uzima wapendwa poleni na majukumu ya wiki nzima.

Turudi kwenye mada yetu, hivi sasa ukiangalia kumekuwa na wimbi kubwa sana la wahitimu wanaomaliza masomo yao ya elimu ya juu lakini ufinyu wa ajira umekuwa mkubwa sana na kusababisha watu wengi kuwapo mtaani bila ya kuwa na shughuli maalumu ya kufanya lakini siku za karibuni kumeibuka wimbi kubwa la wanasiasa wanaowaambia vijana wajiajiri angali wao wenyewe walisomeshwa na wameajiriwa na wananchi lakini kazi yao kubwa ni kupigana vijembe na kuongea mambo dhaifu yasiyo hata na mustakabali kuhusu maisha ya wananchi wanaowaongoza.

Nini kifanyike?
Serikali iangalie uwezekano wa kukaa na wadau wa elimu waanzishe somo la ujasiriamali liwe linafundishwa mashuleni tena liwe somo la lazima kwa mfano unapoanza kidato cha tano au hata kidato cha tatu mpaka mwaka wako wa mwisho wa chuo kikuu na pia katika vyuo vya ufundi uwe unalisoma hili somo hii itasaidia sana kupunguza kwa kiasi chake tatizo hili la ajira.

NAWASILISHA
Umehudhuria semina ngapi za ujasiliamali na umefanyia kazi ngapi
 
Na motivesheni spikaz ndio wafundishe....somo litaeleweka sana.
Waletwe na "mafundi" wawafundishe madogo "zana" mbali mbali ili biashara isife, wasi-copy na kupaste mitaala ya ulaya..mazingira yetu ya biashara yana challenge nyingi sio zile tu za kukaririshwa "poor infrastructure, poor government support, lack of capital"...🤣
 
Waletwe na "mafundi" wawafundishe madogo "zana" mbali mbali ili biashara isife, wasi-copy na kupaste mitaala ya ulaya..mazingira yetu ya biashara yana challenge nyingi sio zile tu za kukaririshwa "poor infrastructure, poor government support, lack of capital"...🤣
Hapa ndipo kuna tatizo ukiangalia hata ile kozi ya enterpreuneurship imefeli tu hapa
 
Habari za uzima wapendwa poleni na majukumu ya wiki nzima.

Turudi kwenye mada yetu, hivi sasa ukiangalia kumekuwa na wimbi kubwa sana la wahitimu wanaomaliza masomo yao ya elimu ya juu lakini ufinyu wa ajira umekuwa mkubwa sana na kusababisha watu wengi kuwapo mtaani bila ya kuwa na shughuli maalumu ya kufanya lakini siku za karibuni kumeibuka wimbi kubwa la wanasiasa wanaowaambia vijana wajiajiri angali wao wenyewe walisomeshwa na wameajiriwa na wananchi lakini kazi yao kubwa ni kupigana vijembe na kuongea mambo dhaifu yasiyo hata na mustakabali kuhusu maisha ya wananchi wanaowaongoza.

Nini kifanyike?
Serikali iangalie uwezekano wa kukaa na wadau wa elimu waanzishe somo la ujasiriamali liwe linafundishwa mashuleni tena liwe somo la lazima kwa mfano unapoanza kidato cha tano au hata kidato cha tatu mpaka mwaka wako wa mwisho wa chuo kikuu na pia katika vyuo vya ufundi uwe unalisoma hili somo hii itasaidia sana kupunguza kwa kiasi chake tatizo hili la ajira.

NAWASILISHA
Haw watoto mtawfanya wchoke shule sasa. Kuna mwingine alisema tuwafundishe history ya Tanzania, ujasiriamali, mtakuj kusem n upilot,.

Nadhani lol kitu kina level yake. Hayo masomo yenyewe yanapaswa kupunguzwa aisee.

Mtoto afocus kwenye jambo moja. Then wawe attached wakimaliza professional studies kwa apprenticeship kwa muda kiasi kabla ya kuajiriwa au kuendelea na masomo au kujiajiri.
 
Back
Top Bottom