KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Wakuu naomba kuuliza kilasiku nimekuwa nasikia kuwa watu wameshikwa na Bangi,Cocaine's zenye /vyenye thamani ya shilingi milioni 200,swali je vitu hivi wanajuaje bei yake wakati haviuzwi madukani??wanavalue vipi na kwakutumia bei za wapi au na serikali inajihusisha na uuzaji wa madawa etc??